The Mongolian Savage
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 8,082
- 17,838
Habari Wanajamvi,
Enzi za mwalimu kulikuwa na Uzalendo uliotukuka. Watanzania walikuwa makini na waadilifu katika shughulu zao.
Majasusi wawili kutoka Marekani na Israel CIA na Mossad walikuja nchini kupeleleza kwa kisingizio cha utalii na kuomba tour guide in advance.
Walipofika tu Dar Int Airport kachalii tu ndio aliwapokea akawa tour guide wao.
Baada ya wiki mbili wakamaliza ziara yao. Yule Dogo kachalii akawapeleka uwanja wa ndege. Wakakumbatiana kuagana na kumpa tip. Kabla hawajaingia kuchek in Dogo akawaimbia.
Zile picha mlizopiga kisiri na kamera zenu za kalamu Ikulu, kambi za jeshi na bunge hazitatoka wala hamtaziiona. Ila zile mlizopiga Serengeti, Zanzibar, ngorongoro tumewaachia mtaziona hili mtutangazie utalii.
Hawa Majasusi walichoka wakabaki midomo wazi Dogo akageuza na kutokomea.
Enzi za mwalimu kulikuwa na Uzalendo uliotukuka. Watanzania walikuwa makini na waadilifu katika shughulu zao.
Majasusi wawili kutoka Marekani na Israel CIA na Mossad walikuja nchini kupeleleza kwa kisingizio cha utalii na kuomba tour guide in advance.
Walipofika tu Dar Int Airport kachalii tu ndio aliwapokea akawa tour guide wao.
Baada ya wiki mbili wakamaliza ziara yao. Yule Dogo kachalii akawapeleka uwanja wa ndege. Wakakumbatiana kuagana na kumpa tip. Kabla hawajaingia kuchek in Dogo akawaimbia.
Zile picha mlizopiga kisiri na kamera zenu za kalamu Ikulu, kambi za jeshi na bunge hazitatoka wala hamtaziiona. Ila zile mlizopiga Serengeti, Zanzibar, ngorongoro tumewaachia mtaziona hili mtutangazie utalii.
Hawa Majasusi walichoka wakabaki midomo wazi Dogo akageuza na kutokomea.