Hii ndio sababu CIA na Mossad kuifanya Tanzania iwe tatu bora kwa upelelezi Duniani enzi za mwalimu

Hii ndio sababu CIA na Mossad kuifanya Tanzania iwe tatu bora kwa upelelezi Duniani enzi za mwalimu

The Mongolian Savage

JF-Expert Member
Joined
Jul 5, 2018
Posts
8,082
Reaction score
17,838
Habari Wanajamvi,

Enzi za mwalimu kulikuwa na Uzalendo uliotukuka. Watanzania walikuwa makini na waadilifu katika shughulu zao.

Majasusi wawili kutoka Marekani na Israel CIA na Mossad walikuja nchini kupeleleza kwa kisingizio cha utalii na kuomba tour guide in advance.

Walipofika tu Dar Int Airport kachalii tu ndio aliwapokea akawa tour guide wao.

Baada ya wiki mbili wakamaliza ziara yao. Yule Dogo kachalii akawapeleka uwanja wa ndege. Wakakumbatiana kuagana na kumpa tip. Kabla hawajaingia kuchek in Dogo akawaimbia.

Zile picha mlizopiga kisiri na kamera zenu za kalamu Ikulu, kambi za jeshi na bunge hazitatoka wala hamtaziiona. Ila zile mlizopiga Serengeti, Zanzibar, ngorongoro tumewaachia mtaziona hili mtutangazie utalii.

Hawa Majasusi walichoka wakabaki midomo wazi Dogo akageuza na kutokomea.
 
Pia wanajeshi enzi za mwalimu walikuwa hodari sana. Kuna mwanajeshi alishikwa mateka na makaburu. Walimshika akiwa na bazuka ya mrusi ile inaweza kurusha kombora mbele na nyuma. Makaburu walikuwa hawajui silaha za mrusi. Wakamwambia jamaa awaoneshe inavyofankshen. Jamaa akalitwaa na kuliweka begani akawaimbia wasimame nyuma yake. Kumbe hawajui jamaa kaset kombora upande wa nyuma. Akawalipua wote na kutoroka
 
Pia wanajeshi enzi za mwalimu walikuwa hodari sana. Kuna mwanajeshi alishikwa mateka na makaburu. Walimshika akiwa na bazuka ya mrusi ile inaweza kurusha kombora mbele na nyuma. Makaburu walikuwa hawajui silaha za mrusi. Wakamwambia jamaa awaoneshe inavyofankshen. Jamaa akalitwaa na kuliweka begani akawaimbia wasimame nyuma yake. Kumbe hawajui jamaa kaset kombora upande wa nyuma. Akawalipua wote na kutoroka
Back Burst Danger Area. BBDA. Stori hii tuliisikia zamani kwa muktadha tafauti...
 
Pia wanajeshi enzi za mwalimu walikuwa hodari sana. Kuna mwanajeshi alishikwa mateka na makaburu. Walimshika akiwa na bazuka ya mrusi ile inaweza kurusha kombora mbele na nyuma. Makaburu walikuwa hawajui silaha za mrusi. Wakamwambia jamaa awaoneshe inavyofankshen. Jamaa akalitwaa na kuliweka begani akawaimbia wasimame nyuma yake. Kumbe hawajui jamaa kaset kombora upande wa nyuma. Akawalipua wote na kutoroka
Inaelekea Mdee amekuzingua sana😂
 
Tanzania hiii ambayo kigezo cha kuwa kiongozi ni kujua kusoma na kuandika na viongozi wengi kutokujua kutumia computer
 
Back
Top Bottom