brave one
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 4,879
- 7,386
Kama ulitarajia kumuona diamond platnumz mwaka huu akifanya show Dar Es Salaam una kila haki ya kusahau.
Diamond yuko booked mpaka mwaka 2017, hata mwaka mpya atauona akiwa kwenye Tamasha Lusaka Zambia
Kama uko maeneo tajwa unaweza nunua tiketi yako mapema
Diamond yuko booked mpaka mwaka 2017, hata mwaka mpya atauona akiwa kwenye Tamasha Lusaka Zambia
Kama uko maeneo tajwa unaweza nunua tiketi yako mapema