Le boss in town πMambo ni mengi...View attachment 2135319
YaniiHuo ndo ukweli eti wana hisa kwenye mabasi machalii washamba kimbwa
Daily kujifanya motivational speaker
[emoji23][emoji23][emoji23]Suti kama imeanikwa
[emoji23][emoji23][emoj
[emoji23]njaaa zitatuua aisee[emoji23][emoji23][emoji23] jamaa hatari sana anatumia ule nwanya wa kutajwa na forbes kama kijana mjasiriliamali bora enzi zile anauza mayai kukamata wajinga wala hatrade anapost profits za watu wengine
Mara TTT kapiga washamba kweny TMT naye akaenda pigwa na mtu wa botswana na wasouth eti zile pesa wafungue kampuni ya logistics nje nikamuona hyu chenga na anaweza kuuza nchi yaani aibie watanzania then akafungue kampuni nje
Wakamgeuka wakampiga kaonekana wakuja karudi bongo anajifanya ana cancer sijui blood pressure walimsumbue watamuu ikapita wajinga wameliwa
Kaja tena na capital360 wakajaa tena mambulula kawapiga mwaka huu [emoji23][emoji23][emoji23]kuna project inasukwa kashaanza na kuonyesha ile gari yake na mansion kali eti anamiliki hapo graduates wanaenda kulia kwa tamaa soon
Traders akichoma account akakosa hela ya kufund ten atajifany tayari ni fx guru[emoji23][emoji23][emoji23]kumbe shida siyo forex ila shida ni traders wana chukua mpunga wa watu,sema kuna watu wanachanganaya wanadhani fx ka fx ni utapeli