Hii ndio sababu forex trading inaonekana ni utapeli kwa jamii

Hii ndio sababu forex trading inaonekana ni utapeli kwa jamii

😂😂😂 jamaa hatari sana anatumia ule nwanya wa kutajwa na forbes kama kijana mjasiriliamali bora enzi zile anauza mayai kukamata wajinga wala hatrade anapost profits za watu wengine

Mara TTT kapiga washamba kweny TMT naye akaenda pigwa na mtu wa botswana na wasouth eti zile pesa wafungue kampuni ya logistics nje nikamuona hyu chenga na anaweza kuuza nchi yaani aibie watanzania then akafungue kampuni nje

Wakamgeuka wakampiga kaonekana wakuja karudi bongo anajifanya ana cancer sijui blood pressure walimsumbue watamuu ikapita wajinga wameliwa

Kaja tena na capital360 wakajaa tena mambulula kawapiga mwaka huu 😂😂😂kuna project inasukwa kashaanza na kuonyesha ile gari yake na mansion kali eti anamiliki hapo graduates wanaenda kulia kwa tamaa soon


[emoji23][emoji23][emoj
 
[emoji23][emoji23][emoji23] jamaa hatari sana anatumia ule nwanya wa kutajwa na forbes kama kijana mjasiriliamali bora enzi zile anauza mayai kukamata wajinga wala hatrade anapost profits za watu wengine

Mara TTT kapiga washamba kweny TMT naye akaenda pigwa na mtu wa botswana na wasouth eti zile pesa wafungue kampuni ya logistics nje nikamuona hyu chenga na anaweza kuuza nchi yaani aibie watanzania then akafungue kampuni nje

Wakamgeuka wakampiga kaonekana wakuja karudi bongo anajifanya ana cancer sijui blood pressure walimsumbue watamuu ikapita wajinga wameliwa

Kaja tena na capital360 wakajaa tena mambulula kawapiga mwaka huu [emoji23][emoji23][emoji23]kuna project inasukwa kashaanza na kuonyesha ile gari yake na mansion kali eti anamiliki hapo graduates wanaenda kulia kwa tamaa soon
[emoji23]njaaa zitatuua aisee
 
Kweli kanisa Mzemkav... Ata mm nmekomaa mwenyewe adi nmetoboa kuijua forex ni Nini, inafanyika vipi, tunawezaje ku print noti kokote tuendapo👣,,, PDF nyingi sana nmepitia na baada ya miaka 4 na miez 3 ndio nmeonja utamu wa pesa ya forex yote hayo nmekomaa mwenyewe Google YouTube na huko Instagram ....!!! Wanaobisha forex trading ni kamali waenderee kubisha Soon ntareta mrejesho naamin Mungu ata npa wepesi zaid na mrejesho ntawareteA
 
Back
Top Bottom