Tetesi: Hii ndio sababu halisi iliyowafanya Clouds Media Group waahirishe tamasha la Tigo Fiesta

Tetesi: Hii ndio sababu halisi iliyowafanya Clouds Media Group waahirishe tamasha la Tigo Fiesta

eastmea

Senior Member
Joined
Jul 28, 2018
Posts
159
Reaction score
133
Wakuu najua mmepata taarifa juu ya kuhailishwa tamasha la fiesta basi zifuatazo ni taarifa zilizo chini ya kapeti kutoka kwa mmoja wa wafanyakazi was clouds media
taarifa nilizo zipata kutoka kwa mmoja wa wafanyakazi wao wanasema wamehailisha kutokana mpaka kufikia Jana usiku ticket zilikuwa hazijanunuliwa robo yake hivyo basi wameamua kuhairisha kutokana na ushindani uliopo mbele yao kwani wameona ni bora wahailishe ili kusudi heshima waliyonayo mbele ya watanzania isije ikapotea,mmoja wa wafanyakazi huyo aliendelea kuniambia kuwa wanajua aibu itakuwepo sahv lakini wameamua kuhailisha kutokana na wangeendeleza tamasha hilo Leo basi fedheha ingekuwa mala kumi na wanayopita sahivi pia aliendelea kusema wanampango wa kumsubilia kingkiba amalize tamasha lake ili wamvute kwani ni moja ya wasanii wenye nguvua Africa mashariki pia aliendelea kusema wanampango wa kuendeleza system yao ya zamani ya kuleta wasanii kutoka west Africa mtoa taarifa huyo alinifafanulia kuwa hii yote imetokana na kuladhimisha wasanii ambao wengi wao hawana ushawishi kwa mashabiki pia mtoa taarifa huyo anafafanua kuwa hii yote ni kutokana na usimamizi mbovu iliopo sasa kwani msimazi wao mkuu (Luge) yupo katika hali mbaya mtoa taarifa huyo anazidi kueleza kuwa kuwa nguvu ya wasanii iliyopo upande wa pili (WCB) ni kubwa mno kwani wasanii wote wa lebel hiyo wananguvu sana especially diamond harmonize, rayvanny pia anamaliza na kusema kuwa hata hapo kazini kwao wamekubali kichinichini kuwa upande wa pili ndio unanguvu sana machoni kwa mashabiki pia wamebadilisha mfumo wa bongo fleva japokuwa hawawezi kukili mbele ya hadhala lakini hilo lipo wazi.
 
Swala la kibali mimi nakataa,tamasha kubwa akama lile,lina watu wenye uzoefu miaka zaidi ya 15,lina watu professional,lina kamati maalumu ya maandalizi,vile vile lina simamiwa na kamapuni kubwa ya promotion,Prime Times Promotion.Alafu eti leo uniambie wameahailisha sababu hawana kibali ni uwongo.

Yaani utake risk kubwa ya kuandaa jukwaa,kufungwa mziki alafu uniambie eti hawana kibali ,hii ni CHAI.Sisi kipindi kile tunaanda vi party vyetu vya macamp,kitu cha kwanza tunatafuta vibali kabala ya kufungwa vijukwaa vyetu na mziki,sasa ww una take big risk ya kuspend high amount of money kufunga majukwaa na mziki,alafu uniambie eti siku za mwisho kibali kimezuiwa UWONGO.

Ikiwa sisi watu wa uswahili hatuna elimu ya kutisha lkn tuna jua hii Protocol,sembuse wao wanye watu wenye Proffesional zao + plus uzoefu wa kuaandaa matamasha kwa miaka zaidi ya kumi na tano

Mauzo ya ticket yame feli huo ndio ukweli wenyewe.
 
Inaweza ikawa kweli pia, maana CMG wameagiza yeyote ambae alinunua tiketi atarudishiwa hela yake... Means watu hawakuwa wengi kivile!
Kiukweli Wasanii ambao walitakiwa kufanya show walikuwa na ushawishi mdogo, hata amsha amsha hawana... Habadiliki kwenye show zao, ubunifu zero!
Hii ni changamoto sana kwa wasanii wetu!
 
Back
Top Bottom