LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 18,037
- 33,681
Wakati wewe mtanzania ukiwa unaendelea na mchakato wa kuwahamisha watoto wako kutoka kwenye shule za kiingereza ( English Mediums) na kuwarejesha kwenye shule za Kayumba, wacha nikuambie kwanini umekuwa ukiota ndoto upo shule ya msingi au sekondari unafanya mitihani etc.
Wanao jiita mitume na manabii wasasa jibu lao huwaga ni moja tu. Kwamba eti kuna watu wanakuroga kukurudisha nyuma. Ukumbafu mtupu.
Ndoto za kuota umerudi utotoni zina tafsiri zaidi ya mia 4.
Tafsiri hutegemeana na mtu na mtu na hutegemeana unapitia kipindi gani wakati unaota ndoto hiyo.
Kwa mfano katika kipindi ambacho unapitia magumu na unaona hauna msaada wowote wa kimwili na kiroho halafu ukaota ndoto upo shule ya msingi,maana yake ni kwamba hutakiwi kukata tamaa kwa sababu hauko peke yako. Kuna nguvu kubwa kushinda wewe ambayo inatazama kila kitu unacho kipitia na ipo tayari kukutetea/ kukusaidia.
Kwanini? Kwa sababu ndoto ni kioo kinacho kuonyesha wewe ni nani/ nafasi yako katika ulimwengu wa roho.
Kama katika ulimwengu wa roho ( ndoto ) wewe ni mtoto basi tafsiri yake ni kwamba katika ulimwengu huo huo wa roho una wazazi pia ( baba na mama ), mabibi na mababu etc.
Kwa hiyo unacho takiwa kufanya ni kusonga mbele kwa sababu ipo nguvu inayo kulinda katika ulimwengu wa roho.
BACK TO MY THREAD.
Katika nyakati za hivi karibuni, watu wengi sana sio tu hapa Tanzania but almost Afrika yote na dunia nzima kwa ujumla wamekuwa wakilalamika kwamba wanaota ndoto wapo shule ya msingi au primary( Many times wapo kwenye chumba cha mitihani)
TAFSIRI YA LIKUD👇👇👇
Kuna masomo muhimu ambayo hukuyazingatia ulipokuwa shule ya msingi au uliyaacha ulipokuwa shule ya sekondari.
Unatakiwa kuyasoma upya masomo hayo utake usitake.
Hayo masomo yalikuwa ni muhimu sana katika maisha yako halisi.
Moja kati ya masomo hayo ni : HISABATI.
Amini kwamba matatizo mengi na changamoto nyingi unazo kutana nazo kwenye maisha yako ni kwa sababu huna maarifa ya HISABATI.
Hisabati ni ufunguo halisi wa kila kitu hapa duniani. Nasema kila kitu mkuu.
Mimi niligundua ukweli huu nikarudi kusoma HISABATI. Nilianza kusoma vitabu vya form 1-4, nikaenda cha Advance ( Both Basic Applied Mathematics na Pure Mathematics) sikuishia hapo nikasoma ( self taught ) kozi zote za Hesbabu zinazo fundishwa kwenye Degree ya Hisabati.
Na sasa hivi nimekuwa enlightened. Ninayatawala maisha yangu. I am living in the future.
Kuna baadhi ya vitu hapa duniani huwezi kuvielewa kama hujui hesabu.
Soma Hisabati. Ukianzakusoma hisabati basi hata hizo ndoto zitaanza kutoweka
Utakuja unishukuru.
Wanao jiita mitume na manabii wasasa jibu lao huwaga ni moja tu. Kwamba eti kuna watu wanakuroga kukurudisha nyuma. Ukumbafu mtupu.
Ndoto za kuota umerudi utotoni zina tafsiri zaidi ya mia 4.
Tafsiri hutegemeana na mtu na mtu na hutegemeana unapitia kipindi gani wakati unaota ndoto hiyo.
Kwa mfano katika kipindi ambacho unapitia magumu na unaona hauna msaada wowote wa kimwili na kiroho halafu ukaota ndoto upo shule ya msingi,maana yake ni kwamba hutakiwi kukata tamaa kwa sababu hauko peke yako. Kuna nguvu kubwa kushinda wewe ambayo inatazama kila kitu unacho kipitia na ipo tayari kukutetea/ kukusaidia.
Kwanini? Kwa sababu ndoto ni kioo kinacho kuonyesha wewe ni nani/ nafasi yako katika ulimwengu wa roho.
Kama katika ulimwengu wa roho ( ndoto ) wewe ni mtoto basi tafsiri yake ni kwamba katika ulimwengu huo huo wa roho una wazazi pia ( baba na mama ), mabibi na mababu etc.
Kwa hiyo unacho takiwa kufanya ni kusonga mbele kwa sababu ipo nguvu inayo kulinda katika ulimwengu wa roho.
BACK TO MY THREAD.
Katika nyakati za hivi karibuni, watu wengi sana sio tu hapa Tanzania but almost Afrika yote na dunia nzima kwa ujumla wamekuwa wakilalamika kwamba wanaota ndoto wapo shule ya msingi au primary( Many times wapo kwenye chumba cha mitihani)
TAFSIRI YA LIKUD👇👇👇
Kuna masomo muhimu ambayo hukuyazingatia ulipokuwa shule ya msingi au uliyaacha ulipokuwa shule ya sekondari.
Unatakiwa kuyasoma upya masomo hayo utake usitake.
Hayo masomo yalikuwa ni muhimu sana katika maisha yako halisi.
Moja kati ya masomo hayo ni : HISABATI.
Amini kwamba matatizo mengi na changamoto nyingi unazo kutana nazo kwenye maisha yako ni kwa sababu huna maarifa ya HISABATI.
Hisabati ni ufunguo halisi wa kila kitu hapa duniani. Nasema kila kitu mkuu.
Mimi niligundua ukweli huu nikarudi kusoma HISABATI. Nilianza kusoma vitabu vya form 1-4, nikaenda cha Advance ( Both Basic Applied Mathematics na Pure Mathematics) sikuishia hapo nikasoma ( self taught ) kozi zote za Hesbabu zinazo fundishwa kwenye Degree ya Hisabati.
Na sasa hivi nimekuwa enlightened. Ninayatawala maisha yangu. I am living in the future.
Kuna baadhi ya vitu hapa duniani huwezi kuvielewa kama hujui hesabu.
Soma Hisabati. Ukianzakusoma hisabati basi hata hizo ndoto zitaanza kutoweka
Utakuja unishukuru.