matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 7,968
- 19,368
Kama unaamini Mungu ni wa Yasiyowezekana, alafu wewe unavimalengo vinavyowezekana, au unaogopa kukusudia jambo kubwa linaloumiza kichwa, humuamini huyo Mungu.
Malengo au lengo lisilowezekana katikati ya malengo yako litakusaidia kwanza wewe ubadilike ili litokee. Wewe kabla ya kutekeleza na wewe baada ya kutekeleza ni watu wawili tofauti. Kama unamuamini Mungu jipangie vitu vya kawaida ila changanya kimoja kisichowezekana kuonyesha wewe ni binadamu unayemuamini Mungu wa yasiyowezekana. Hata hivyo imeandikwa "Awazavyo mtu moyoni mwake ndivy alivyo", kwa maana kama umeweza kuwaza kicho kitu kikubwa tayari Mungu aliyekupa huo uwezo wa kuwaza hivyo ametoa na uwezo wa kuwa mtu wa hivyo, kutekeleza. Hivyo tu. Ndio maana kama unamipango alafu ule wa kwanda mbinguni na kuishi na Mungu mahali bora kuliko hii dunia huna, wewe bado ni mtu wa Yanayowezekana.
Mungu ndio Muasisi wa kuwa na malengo yasiyowezekana. Aliwahi kumtoa Yesu ambaye anasifa zote za uungu afe wakati Mungu hapatikani na mauti. Alirisk kumfanya awe na umbile la mwanadamu ili iwezekane kufa na kufufuka ili kifo hicho kiwe mbadala wa kifo cha milele cha yeyote atakayemuamini huyo Yesu
Malengo au lengo lisilowezekana katikati ya malengo yako litakusaidia kwanza wewe ubadilike ili litokee. Wewe kabla ya kutekeleza na wewe baada ya kutekeleza ni watu wawili tofauti. Kama unamuamini Mungu jipangie vitu vya kawaida ila changanya kimoja kisichowezekana kuonyesha wewe ni binadamu unayemuamini Mungu wa yasiyowezekana. Hata hivyo imeandikwa "Awazavyo mtu moyoni mwake ndivy alivyo", kwa maana kama umeweza kuwaza kicho kitu kikubwa tayari Mungu aliyekupa huo uwezo wa kuwaza hivyo ametoa na uwezo wa kuwa mtu wa hivyo, kutekeleza. Hivyo tu. Ndio maana kama unamipango alafu ule wa kwanda mbinguni na kuishi na Mungu mahali bora kuliko hii dunia huna, wewe bado ni mtu wa Yanayowezekana.
Mungu ndio Muasisi wa kuwa na malengo yasiyowezekana. Aliwahi kumtoa Yesu ambaye anasifa zote za uungu afe wakati Mungu hapatikani na mauti. Alirisk kumfanya awe na umbile la mwanadamu ili iwezekane kufa na kufufuka ili kifo hicho kiwe mbadala wa kifo cha milele cha yeyote atakayemuamini huyo Yesu