Hii ndio sababu Magenius hawawezi kuwa matapeli

Inamaana Mtemi Kisandu nae ni Genius?
Genius huwa wako anticlockwise na mambo mengi sana ya kijamii huwa wanaishi tofauti na jamii yao ndio maana hawaeleweki kirahisi na wao uishia kujitenga na jamii. Maana they are introvert.

Hivi Karibuni kumeibuka mjadala mkubwa sana huko majuu baada ya maprofesa kugawanyika kuhusu Kanye West kwamba ni genius au ni mwehu kutokana na vitu anavyovifanya na kuviongea..aliwaambia watu wachague nyimbo mbaya zaidi Duniani na atazigeuza kuwa nyimbo za kuuza album yake..watu wakachagua ngoma tatu zile mbovu zaidi Duniani then akazifanyia uchawi wake zikawa ndo best kwmeye album yake ya famous.

Mbali na hayo kuna vitu anavisema vinaashiria jamaa yuko ahead of our time. Yaani anaishi future yetu.

Kanye magharibi au kanye West.
 

Attachments

  • Screenshot_2018-04-14-04-40-23.png
    109.9 KB · Views: 143
  • Screenshot_2018-04-14-04-40-49.png
    52.6 KB · Views: 152
Good doctor
Dr shawn murphy
 
Umeeleza kijanja janja sana, hivyo basi una kazi ya ziada kutuaminisha kwamba hujatutapeli kwa utafiti wako huu...mwisho naomba kujua kama baba nanihii anaangukia kundi gani?
 
ishu kwenye gonjwa tajwa hapo,je kwa nchi za kiafrika tnao wataalam wa kutambua gonjwa hilo
 
ishu kwenye gonjwa tajwa hapo,je kwa nchi za kiafrika tnao wataalam wa kutambua gonjwa hilo
Wapo! Baba mwenye nyumba aligundua ili kumaliza wizi suluhisho ni kujenga ukuta, nafikiri sasa yuko kwenye mpango mkakati wa kuzungusha ukuta nchi nzima kulinda rasilimali vitu na rasilimali watu za nchi hii baada ya kufanya upembuzi yakinifu uliopelekea mchakato mkubwa sana kwa kiwango cha lami!
 
Jf is never boring..
 
We have some differences, but I have to admit this thread is a master piece!

Japo kuna sehemu tutapingana (I know you know it), but the rest of this thing is a master class!

You fall in the same class as my tmt brother!

[emoji39] [emoji39] [emoji39]
 
kwa haya ninayosikia kuhusu huyu mjamaa mwenye jina Ontario, this guy is worth an acquaintance.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…