REDEEMER.
JF-Expert Member
- Feb 22, 2015
- 8,925
- 14,890
Meet with SILVERLAND Industry Tanzania,
Mega poultry industry in East and Central Africa kilichopo Iringa Tanzania ambacho JPM amekizindua juzi
Ni Kiwanda chenye uwezo wa kuzalisha zaidi ya vifaranga 300,000 kwa wiki kinatengeneza chakula cha kuku na kuuza Kenya, Uganda, Ethiopia, Nigeria etc
Kina machines na technology ya kisasa ya uzalishaji wa vifaranga kwa technology ya Germany na kinatoa the best breed ya kuku na mayai (mayaye kwa wakenya)
Kinatoa ajira kwa watanzania zaidi ya 800
[HASHTAG]#HapaKaziTu[/HASHTAG]
[HASHTAG]#JPMJembe[/HASHTAG]
[HASHTAG]#TanzaniaYaViwanda[/HASHTAG]
Mega poultry industry in East and Central Africa kilichopo Iringa Tanzania ambacho JPM amekizindua juzi
Ni Kiwanda chenye uwezo wa kuzalisha zaidi ya vifaranga 300,000 kwa wiki kinatengeneza chakula cha kuku na kuuza Kenya, Uganda, Ethiopia, Nigeria etc
Kina machines na technology ya kisasa ya uzalishaji wa vifaranga kwa technology ya Germany na kinatoa the best breed ya kuku na mayai (mayaye kwa wakenya)
Kinatoa ajira kwa watanzania zaidi ya 800
[HASHTAG]#HapaKaziTu[/HASHTAG]
[HASHTAG]#JPMJembe[/HASHTAG]
[HASHTAG]#TanzaniaYaViwanda[/HASHTAG]