Hii ndio sababu why JPM bag eggs and chicken from Kenya

Hii ndio sababu why JPM bag eggs and chicken from Kenya

REDEEMER.

JF-Expert Member
Joined
Feb 22, 2015
Posts
8,925
Reaction score
14,890
Meet with SILVERLAND Industry Tanzania,

Mega poultry industry in East and Central Africa kilichopo Iringa Tanzania ambacho JPM amekizindua juzi

Ni Kiwanda chenye uwezo wa kuzalisha zaidi ya vifaranga 300,000 kwa wiki kinatengeneza chakula cha kuku na kuuza Kenya, Uganda, Ethiopia, Nigeria etc

Kina machines na technology ya kisasa ya uzalishaji wa vifaranga kwa technology ya Germany na kinatoa the best breed ya kuku na mayai (mayaye kwa wakenya)

Kinatoa ajira kwa watanzania zaidi ya 800

[HASHTAG]#HapaKaziTu[/HASHTAG]
[HASHTAG]#JPMJembe[/HASHTAG]
[HASHTAG]#TanzaniaYaViwanda[/HASHTAG]
Screenshot_20180504-063839.png
Screenshot_20180504-063901.png
Screenshot_20180504-063942.png
Screenshot_20180504-064022.png
Screenshot_20180504-064057.png
Screenshot_20180506-070440.png
Screenshot_20180506-070451.png
Screenshot_20180506-070547.png
Screenshot_20180506-070558.png
Screenshot_20180506-070602.png
Screenshot_20180506-070654.png
Screenshot_20180506-070719.png
 
Sababu ya vifaranga kutoka Kenya kuteketezwa ni uwepo wa mafua ya ndege nchini humo.pia taratbu za nchi haziruhusu kuingza mifugo kutoka nchi zngne bila kufuata kanuni za upimaj zilizowekwa...lengo ni kuzuia usambazwaj wa vumelea vya magonjwa kutoka nje
 
Kwa miaka kadhaa sasa, hivi ni vitu ambavyo vimekuwa vya kawaida sana huku Kenya. Vyakula vya kuku na vifaranga vipo excess huku Kenya. Viwanda venyewe vinazidi kuongezeka kila uchao. Tembea Nai-Namanga highway utanielewa.
 
Kwa miaka kadhaa sasa, hivi ni vitu ambavyo vimekuwa vya kawaida sana huku Kenya. Vyakula vya kuku na vifaranga vipo excess huku Kenya. Viwanda venyewe vinazidi kuongezeka kila uchao. Tembea Nai-Namanga highway utanielewa.
Tuletee data za kuwepo kiwanda kikubwa na cha kisasa chenye capacity sawa au kuzidi hiki cha Tanzania, ambacho kimetoa ajira ya wakenya 800, hiyo ndiyo faida ya kuwepo viwanda nchini, kutoa ajira kwa wananchi, usituletee story ya viwanda vidogo vidogo vinavyotoa ajira ya watu 20 kama hivyo vyenu na kulinganisha na kiwanda kama hiki.
 
Hapana hii ishu Customs kushirikiana na stakeholders wake ndio walio zuia.
Magufuri na uzinduzi huu havihusiani kabisa.
 
Tuletee data za kuwepo kiwanda kikubwa na cha kisasa chenye capacity sawa au kuzidi hiki cha Tanzania, ambacho kimetoa ajira ya wakenya 800, hiyo ndiyo faida ya kuwepo viwanda nchini, kutoa ajira kwa wananchi, usituletee story ya viwanda vidogo vidogo vinavyotoa ajira ya watu 20 kama hivyo vyenu na kulinganisha na kiwanda kama hiki.
Hahaha 😀 ndio mnaanza? Sisi tulishafika huko zamani sana. Ndio maana hutasikia vifaranga vinatoka Tz kuja Kenya. Ila mnajaribu. Hongera zenu.
 
Hahaha 😀 ndio mnaanza? Sisi tulishafika huko zamani sana. Ndio maana hutasikia vifaranga vinatoka Tz kuja Kenya. Ila mnajaribu. Hongera zenu.
Mbona hamna ajira kama mlitoka huko zamani?,mnakimbilia kuka kuajiriwa Tanzania, mkikataliwa kupewa work permit mnapata orgasm?[emoji2]
 
Meet with SILVERLAND Industry Tanzania,

Mega poultry industry in East and Central Africa kilichopo Iringa Tanzania ambacho JPM amekizindua juzi

Ni Kiwanda chenye uwezo wa kuzalisha zaidi ya vifaranga 300,000 kwa wiki kinatengeneza chakula cha kuku na kuuza Kenya, Uganda, Ethiopia, Nigeria etc

Kina machines na technology ya kisasa ya uzalishaji wa vifaranga kwa technology ya Germany na kinatoa the best breed ya kuku na mayai (mayaye kwa wakenya)

Kinatoa ajira kwa watanzania zaidi ya 800

[HASHTAG]#HapaKaziTu[/HASHTAG]
[HASHTAG]#JPMJembe[/HASHTAG]
[HASHTAG]#TanzaniaYaViwanda[/HASHTAG]
View attachment 767513 View attachment 767514 View attachment 767515 View attachment 767516 View attachment 767517 View attachment 767518 View attachment 767519 View attachment 767520 View attachment 767521 View attachment 767522 View attachment 767523 View attachment 767524
Kimejengwa kwa $71million.
 
mkikuja hapa na story za vijiweni, mkuwe makini sana
IMG_20180506_105346_334.JPG

IMG_20180506_105408_829.JPG

we were here in the 80's. nyinyi bado mko chini sana.
 
Mbona hamna ajira kama mlitoka huko zamani?,mnakimbilia kuka kuajiriwa Tanzania, mkikataliwa kupewa work permit mnapata orgasm?[emoji2]
Duuh!! Unaishia kupiga makelele tu.. siku izi hamna jipya
 
Meet with SILVERLAND Industry Tanzania,

Mega poultry industry in East and Central Africa kilichopo Iringa Tanzania ambacho JPM amekizindua juzi

Ni Kiwanda chenye uwezo wa kuzalisha zaidi ya vifaranga 300,000 kwa wiki kinatengeneza chakula cha kuku na kuuza Kenya, Uganda, Ethiopia, Nigeria etc

Kina machines na technology ya kisasa ya uzalishaji wa vifaranga kwa technology ya Germany na kinatoa the best breed ya kuku na mayai (mayaye kwa wakenya)

Kinatoa ajira kwa watanzania zaidi ya 800

[HASHTAG]#HapaKaziTu[/HASHTAG]
[HASHTAG]#JPMJembe[/HASHTAG]
[HASHTAG]#TanzaniaYaViwanda[/HASHTAG]
View attachment 767513 View attachment 767514 View attachment 767515 View attachment 767516 View attachment 767517 View attachment 767518 View attachment 767519 View attachment 767520 View attachment 767521 View attachment 767522 View attachment 767523 View attachment 767524


Huwezi kua kiongozi au kuendesha biashara kwa chuki!

Chuki haiwezi kua ndio dira ya biashara na uongozi!

This is bafoonery!
 
huyu kilaza aondoe inzi kwenye nyama! Kenyan industries sio ligi ya hivo vibanda vya tz.

IMG_20180506_111052_741.JPG

IMG_20180506_111119_767.JPG

IMG_20180506_111140_149.JPG
 
Back
Top Bottom