Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
Taarifa za ndaaaaaniiii Kabisa zinadai Kuwa CAPTAIN FANTASTIC amebakishwa kwenye timu kwajili ya kunyanyua ndoo ya CAF CHAMPIONS LEAGUE [emoji471].
Eti atapewa THANK YOU mwishoni mwa msimu baada ya kubeba ndoo. Kama ndoo ya CAF champions haibebwi...Boko yupo sana [emoji849]
Eti atapewa THANK YOU mwishoni mwa msimu baada ya kubeba ndoo. Kama ndoo ya CAF champions haibebwi...Boko yupo sana [emoji849]