Fursakibao
JF-Expert Member
- Dec 12, 2017
- 6,813
- 11,540
Habari za usiku huu wadau.
Baada ya kupata taabu ya kutafuta kuku wa kienyeji wa kula, sasa nimeua rasmi nianze ufugaji mwenyewe. Nimejaribu kuangalia sokoni, utakuta kuku wa elf 17 ni mdogo sana hatoshi mwanaume wa shoka kula, hiyo inaonekana soko la kuku hawa lipo ukizingatia upatikanaji wake ni wa tabu sana.
Vifaa vyote vya kufugia ninavyo nimeviweka ndani kwa mda wa miaka kama mitatu hivi. Vifaa nilivyo navyo ni Incubator ya mayai 1056, feeder 500 na drinker 500. Kwa sasa nimeanza na kuku 8, watatu nimeshakula wamebaki 5 mbegu safi na kuna sehemu nimeweka order ya kuku 10. Nimenunua kuku wachache kwani ndio naanda mabanda.
Nitawapa mrejesho zaidi baada ya miezi 3.
Baada ya kupata taabu ya kutafuta kuku wa kienyeji wa kula, sasa nimeua rasmi nianze ufugaji mwenyewe. Nimejaribu kuangalia sokoni, utakuta kuku wa elf 17 ni mdogo sana hatoshi mwanaume wa shoka kula, hiyo inaonekana soko la kuku hawa lipo ukizingatia upatikanaji wake ni wa tabu sana.
Vifaa vyote vya kufugia ninavyo nimeviweka ndani kwa mda wa miaka kama mitatu hivi. Vifaa nilivyo navyo ni Incubator ya mayai 1056, feeder 500 na drinker 500. Kwa sasa nimeanza na kuku 8, watatu nimeshakula wamebaki 5 mbegu safi na kuna sehemu nimeweka order ya kuku 10. Nimenunua kuku wachache kwani ndio naanda mabanda.
Nitawapa mrejesho zaidi baada ya miezi 3.