Hii ndio Sababu ya kuanza ufugaji wa kuku wa kienyeji

Hii ndio Sababu ya kuanza ufugaji wa kuku wa kienyeji

sikukatishi tamaa ila nakupa somo la kuku wa kienyeji liko hivyo

Kuku wa kienyeji hutaga mayai 15 hadi 20 kwa bachi moja.

Kuku wa kienyeji hutamia/hulalia mayai hayo kwa siku zisizo pungua 21.

Na anakuwa na uwezo wa kutotoa vifaranga 7, 10, 15 au zaidi, hii idadi inategemea sababu nyingi tutazieleza wakati mwingine.

Kuku huyu hulea hivyo vifaranga kwa muda wa siku 90 yani miezi mitatu ndipo atapo anza kutaga tena.

Na ndani ya siku hizo 90 tukadirie wastani alitotoa vifaranga 13, lakini sio kweli kwamba ukimuachia kuku avilee vifaranga atavikuza vyote hapana, tuseme vifaranga vilivyo kuwa ni vinne (4) tu.

Haya sasa tujumlishe siku zote za huu mzunguko wa kupata vifaranga vinne kwenye bachi moja aliotaga kuku.

Kutaga siku 15 + Kulalia siku 21 + Kulea siku 90 Jumla zinakuwa siku 126.

Kwa hiyo siku 126 utakuwa umepata vifaranga vinne (4) tu, na kwa mwaka wenye sikumaana hiyo mwaka uwenye 360 utakuwa umefanya mizungo kama hii ya siku 126 mara tatu hivyo utakuwa na vifaranga na kuku wanaokuwa 12 tu ndani ya mwaka, HII NI HASARA #TUBADIRIKE SASA.

Sasa fahamu kwamba kuna mambo ambayo unaweza kuyafanya na kupata vifaranga zaidi ya 100 kwa mwaka kutoka kwa kuku wako wa kienyeji badala ya kuku 12 kwa mwaka.

Ushauri: tufuge kibiashara
Tuelekeze hayo mambo ya kuyafanya kupata vifaranga wengi (hiyo Aya ya mwisho).
 
Tuseme nina kuku majike 20 wa umri sawa. Wakianza kutaga tuchukulie ratio ya 20:15 ambako kila siku napata mayai 15.

Kwa wiki nitakuwa na mayai nitakuwa na mayai 105 na kwa mwezi nitakuwa na mayai 420 nikiyaweka kwenye incubator nitaweza kupata vifaranga 300. Nikivitunza vizuri naweza kuza hadi 250.

Mpaka mda mayai yanatoka kwenye incubator tayari kuku wengine watakuwa wameanza kutaga. Hivyo utagundua nitaweza kupata kuku wengi.

Kuwa na kuku watano haimaanishi ndio uwezo au mtaji Bali najaribu kutafuta breed nzuri.
Project nimeifanya for not less than 3 years, tatizo sio bei ya kuku tatizo ni gharama ya chakula cha kuku. Ni ngumu sana kutoboa kupitia local breed

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ika incubator nyingi ni Vimeo .katika mayai hayo unaweza Pata vifaranha 30! Sijui huwa wanaiba au poor performance ya machine. .yaan tray moja unaambiwa wametoka kuku 5
Hao wanaeapiga. Hizo nilinunuaga 3 mbili nikauza na walionunua wametoa ushuhuda kuwa inatotolesha 80%
 
Pengine kweli. Maana kuwa na incubator yenye thamani ya zaidi ya 1m, feeders 500 na drinkers 500 ambazo kwa pamoja thamani yake ni kama 5m halafu kuku wanane au watano ni kichekesho cha karne.
Bado nina utaratibu wa kuongeza wengine. Upatikanaji mbegu nzuri ndio umekuwa mgumu.
 
Project nimeifanya for not less than 3 years, tatizo sio bei ya kuku tatizo ni gharama ya chakula cha kuku. Ni ngumu sana kutoboa kupitia local breed

Sent using Jamii Forums mobile app
Niweke wazi nitakuwa nafunga kibiashara lakini si kwa ajili ya kutoboa. Mlaji mkubwa kwanza nitakuwa mimi, alafu ndio watu suala la kuuza lifuatie. Japokuwa pia lengu langu niweze kuuza kila wiki kuku 200.

Chakula hakitakuwa ishu, nimetenga heka 10 kwa ajili ya kulima chakula chao msimu ujao.
 
Bado nina utaratibu wa kuongeza wengine. Upatikanaji mbegu nzuri ndio umekuwa mgumu.
Next yr Nane nane nenda mabanda ya magereza nunua kuku kienyeji kuchi jike.. sie tulinunua 2013 had leo hii anazaa...anataga mayai mengi na ndo yeye alone anajitahid kutotoa vifaranga karibu 85%.na anakuza karibia wote..huyu kuku tunamwitaga mbarikiwa..
 
sikukatishi tamaa ila nakupa somo la kuku wa kienyeji liko hivyo

Kuku wa kienyeji hutaga mayai 15 hadi 20 kwa bachi moja.

Kuku wa kienyeji hutamia/hulalia mayai hayo kwa siku zisizo pungua 21.

Na anakuwa na uwezo wa kutotoa vifaranga 7, 10, 15 au zaidi, hii idadi inategemea sababu nyingi tutazieleza wakati mwingine.

Kuku huyu hulea hivyo vifaranga kwa muda wa siku 90 yani miezi mitatu ndipo atapo anza kutaga tena.

Na ndani ya siku hizo 90 tukadirie wastani alitotoa vifaranga 13, lakini sio kweli kwamba ukimuachia kuku avilee vifaranga atavikuza vyote hapana, tuseme vifaranga vilivyo kuwa ni vinne (4) tu.

Haya sasa tujumlishe siku zote za huu mzunguko wa kupata vifaranga vinne kwenye bachi moja aliotaga kuku.

Kutaga siku 15 + Kulalia siku 21 + Kulea siku 90 Jumla zinakuwa siku 126.

Kwa hiyo siku 126 utakuwa umepata vifaranga vinne (4) tu, na kwa mwaka wenye sikumaana hiyo mwaka uwenye 360 utakuwa umefanya mizungo kama hii ya siku 126 mara tatu hivyo utakuwa na vifaranga na kuku wanaokuwa 12 tu ndani ya mwaka, HII NI HASARA #TUBADIRIKE SASA.

Sasa fahamu kwamba kuna mambo ambayo unaweza kuyafanya na kupata vifaranga zaidi ya 100 kwa mwaka kutoka kwa kuku wako wa kienyeji badala ya kuku 12 kwa mwaka.

Ushauri: tufuge kibiashara
Mimi ni mfugaji wa kuku wa kienyeji. Nawafuga kwa biashara. Naomba nitofautiane na wewe.
Kuku wangu wanataga mayai 13 hadi 16. Hata kama itatokea matetea wanaotaga ni wengi, hua nachagua matetea 15 tu kwaajili ya kulalia. Muda wa kulalia ni siku 21. Kila kuku namuwekea mayai 10 ya kulalia. Wapo wanaoa toa vifaranga vyote na wengine wanatoa mpaka vifaranga 5 au 6. Baada ya kutotoa, nawapokonya vifaranga kisha navilea mwenyewe. Siku ya 7 mpaka 10, kuku wanaanza kutaga tena.
Chukulia hao matetea 15 wanipe vifaranga 95. Changamoto za hapa na pale vitakuwa 80.
Ndani ya miezi mitatu kwa matetea 15, nina uhakika wa kupata kuku 80. Kumbuka matetea hawa wanapokuwa wamelalia, kuna matetea wengine wanakua wanataga na wengine wanakaribia kuangua vifaranga. Yaani ni kupokezana akitoka kuku huyu anaingia yule.

Kuku tunauzia mnadani. Wife anaenda mnada wa juma tano na kuku 15, mimi naenda mnada wa jumapili na kuku 15. Bei ya kuuza ni 13000 kwa 14000 ila ukija kitajiri tunakula hadi 17000.
Changamoto zipo nyingi sana na ufugaji wa kuku unahitaji uvumilivu sana na roho ya kutokata tamaa.
Ukiweza kupunguza vifo kwa vifaranga, utaufurahia sana ufugaji wa kuku. Lakini ili uanze kuona faida ya kuku wa kienyeji, unatakiwa ufuge kwa malengo. Kwa mfano. Malengo yako kwa mwaka ni kufikisha kuku 1500 hadi 2000. Jitahidi sana usiwatunze mpaka wafike 2000. Kila Wakifika 300 anza kuuza.
Kwa upande wa tiba, kuku wa kienyeji anachangamoto akiwa kifaranga. Baada ya mwezi changamoto zinaanza kupungua.
 
Next yr Nane nane nenda mabanda ya magereza nunua kuku kienyeji kuchi jike.. sie tulinunua 2013 had leo hii anazaa...anataga mayai mengi na ndo yeye alone anajitahid kutotoa vifaranga karibu 85%.na anakuza karibia wote..huyu kuku tunamwitaga mbarikiwa..
Fanya mpango wa kuniuzia hata wawili. Nilikuwa name nane sikuwaona wengi walikuwa wamejaxa kuroiler
 
Mimi ni mfugaji wa kuku wa kienyeji. Nawafuga kwa biashara. Naomba nitofautiane na wewe.
Kuku wangu wanataga mayai 13 hadi 16. Hata kama itatokea matetea wanaotaga ni wengi, hua nachagua matetea 15 tu kwaajili ya kulalia. Muda wa kulalia ni siku 21. Kila kuku namuwekea mayai 10 ya kulalia. Wapo wanaoa toa vifaranga vyote na wengine wanatoa mpaka vifaranga 5 au 6. Baada ya kutotoa, nawapokonya vifaranga kisha navilea mwenyewe. Siku ya 7 mpaka 10, kuku wanaanza kutaga tena.
Chukulia hao matetea 15 wanipe vifaranga 95. Changamoto za hapa na pale vitakuwa 80.
Ndani ya miezi mitatu kwa matetea 15, nina uhakika wa kupata kuku 80. Kumbuka matetea hawa wanapokuwa wamelalia, kuna matetea wengine wanakua wanataga na wengine wanakaribia kuangua vifaranga. Yaani ni kupokezana akitoka kuku huyu anaingia yule.

Kuku tunauzia mnadani. Wife anaenda mnada wa juma tano na kuku 15, mimi naenda mnada wa jumapili na kuku 15. Bei ya kuuza ni 13000 kwa 14000 ila ukija kitajiri tunakula hadi 17000.
Changamoto zipo nyingi sana na ufugaji wa kuku unahitaji uvumilivu sana na roho ya kutokata tamaa.
Ukiweza kupunguza vifo kwa vifaranga, utaufurahia sana ufugaji wa kuku. Lakini ili uanze kuona faida ya kuku wa kienyeji, unatakiwa ufuge kwa malengo. Kwa mfano. Malengo yako kwa mwaka ni kufikisha kuku 1500 hadi 2000. Jitahidi sana usiwatunze mpaka wafike 2000. Kila Wakifika 300 anza kuuza.
Kwa upande wa tiba, kuku wa kienyeji anachangamoto akiwa kifaranga. Baada ya mwezi changamoto zinaanza kupungua.


Kwahiyo vinakufa 15 out of 95??..Basi uko njema mkuu ! Kuna mikuku ilikua unaiwekea mayai 12 kinatoa kifaranga kimoja..siwehu huo! Na Kuna miez na miez ya kutotoa..mie toka corona umeanza had leo sijamwekea kuku yai tunakula tu coz Kuna baridi sana
 
Mimi ni mfugaji wa kuku wa kienyeji. Nawafuga kwa biashara. Naomba nitofautiane na wewe.
Kuku wangu wanataga mayai 13 hadi 16. Hata kama itatokea matetea wanaotaga ni wengi, hua nachagua matetea 15 tu kwaajili ya kulalia. Muda wa kulalia ni siku 21. Kila kuku namuwekea mayai 10 ya kulalia. Wapo wanaoa toa vifaranga vyote na wengine wanatoa mpaka vifaranga 5 au 6. Baada ya kutotoa, nawapokonya vifaranga kisha navilea mwenyewe. Siku ya 7 mpaka 10, kuku wanaanza kutaga tena.
Chukulia hao matetea 15 wanipe vifaranga 95. Changamoto za hapa na pale vitakuwa 80.
Ndani ya miezi mitatu kwa matetea 15, nina uhakika wa kupata kuku 80. Kumbuka matetea hawa wanapokuwa wamelalia, kuna matetea wengine wanakua wanataga na wengine wanakaribia kuangua vifaranga. Yaani ni kupokezana akitoka kuku huyu anaingia yule.

Kuku tunauzia mnadani. Wife anaenda mnada wa juma tano na kuku 15, mimi naenda mnada wa jumapili na kuku 15. Bei ya kuuza ni 13000 kwa 14000 ila ukija kitajiri tunakula hadi 17000.
Changamoto zipo nyingi sana na ufugaji wa kuku unahitaji uvumilivu sana na roho ya kutokata tamaa.
Ukiweza kupunguza vifo kwa vifaranga, utaufurahia sana ufugaji wa kuku. Lakini ili uanze kuona faida ya kuku wa kienyeji, unatakiwa ufuge kwa malengo. Kwa mfano. Malengo yako kwa mwaka ni kufikisha kuku 1500 hadi 2000. Jitahidi sana usiwatunze mpaka wafike 2000. Kila Wakifika 300 anza kuuza.
Kwa upande wa tiba, kuku wa kienyeji anachangamoto akiwa kifaranga. Baada ya mwezi changamoto zinaanza kupungua.

nashukuru sna kwa ufafanuzi mzuri!
 
Back
Top Bottom