Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Tena wao ndo waasisi wa jina hiloKombe la wanawake ?!
Mkuu elimu zaid naiomba toka kwako. Ndani ya pot moja (lolote), wa juu ndo bora zaidi kuliko wa chini?Labda tukupe somo kidogo kuhusu upangaji wa timu kwenye hatua ya makundi..
Timu zilizoingia makundi ni kumi na sita (16) ambazo zinapangwa kwenye poti nne tofauti kutokana na ranks ilizonazo kwenye msimamo wa timu bora Caf,Sasa ukiangalia hapo Yanga ipo poti namba mbili(2) kwa maana hiyo sasa watakapo panga makundi kutakua na makundi manne yenye timu nne nne,Hivyo basi kila timu iliyopo kwenye poti husika itakutana na timu moja moja kutoka kwenye mapoti mengine yani mfano timu ipo kwenye poti namba mbili ni lazima ikutane na timu moja kutoka poti namba moja,kutoka poti namba tatu na pia kutoka poti namba nne..
Hapo ndio itakua imekamilisha idadi ya timu nne kila kundi..Sasa ukiangalia hapo Yanga ipo poti namba mbili manake Yanga ni bora ukilinganisha na timu zinazopatikana poti namba tatu na nne hizo ndio timu zinazotakiwa kumuhofia Yanga na sio Yanga kuwahofia wao,Yanga timu inazoweza kuzihofia ni timu zinazopatikana poti namba moja tu na zenyewe ni timu moja tu ndio itakua kundi moja na Yanga..
Na kati ya hizo timu zinazopatikana kwenye poti namba moja ni moja tu ambayo Yanga haijakutana nayo kwenye mashindano ya Caf kwa misimu hii mitatu lakini zingine zote zimeshakutana na Yanga.
Club bingwa hakunaga kibonde maana hao ndo mabingwa wa ligi za nchi zao. Vibonde wapo kwenye kombe la mshikamano aka shirikisho.Yanga mumepata mseleleko Sasa kazi mnayio ππ
View: https://www.instagram.com/p/DAO9o1wM3K5/?igsh=MTc5aDRia2NxbWtjag==
My Take: Safari yenu imefika mwisho
Simba wao ni wakubwa watapangwa kundi la vibonde
View: https://www.instagram.com/p/DAO5-s9PIh2/?igsh=MWFjeGlnbXJjbDY0Mw==
Alafu Kwa akili zako unajua hayo ndo makundi tayari.Yanga mumepata mseleleko Sasa kazi mnayio ππ
View: https://www.instagram.com/p/DAO9o1wM3K5/?igsh=MTc5aDRia2NxbWtjag==
My Take: Safari yenu imefika mwisho
Simba wao ni wakubwa watapangwa kundi la vibonde
View: https://www.instagram.com/p/DAO5-s9PIh2/?igsh=MWFjeGlnbXJjbDY0Mw==
Yanga mumepata mseleleko Sasa kazi mnayio ππ
View: https://www.instagram.com/p/DAO9o1wM3K5/?igsh=MTc5aDRia2NxbWtjag==
My Take: Safari yenu imefika mwisho
Simba wao ni wakubwa watapangwa kundi la vibonde
View: https://www.instagram.com/p/DAO5-s9PIh2/?igsh=MWFjeGlnbXJjbDY0Mw==
Best comment ya mwezi huu. Inabidi hii hoja uianzishie Uzi ili hii rekodi ikae sawa. Na wakija na kidomodomo, waambie mwakani tena tukirudi CL tutakuwa pia Pot 1 pekee yetu.Naona Simba inaweka rekodi nyingine hapa.. Simba inekuwa timu ya kwanza Tanzania kuwahi kuwekwa Pot 1.
Kombe la LOOSERBest comment ya mwezi huu. Inabidi hii hoja uianzishie Uzi ili hii rekodi ikae sawa. Na wakija na kidomodomo, waambie mwakani tena tukirudi CL tutakuwa pia Pot 1 pekee yetu.
Hakuna tena utaratibu wa kuangukia shirikishoKombe la LOOSER
Mna matatizo nyie Mikia FC.Naona Simba inaweka rekodi nyingine hapa.. Simba inekuwa timu ya kwanza Tanzania kuwahi kuwekwa Pot 1.
Achana na mpira wewe kauze mihogo ya kuchoma.Yanga mumepata mseleleko Sasa kazi mnayio ππ
View: https://www.instagram.com/p/DAO9o1wM3K5/?igsh=MTc5aDRia2NxbWtjag==
My Take: Safari yenu imefika mwisho
Simba wao ni wakubwa watapangwa kundi la vibonde
View: https://www.instagram.com/p/DAO5-s9PIh2/?igsh=MWFjeGlnbXJjbDY0Mw==
Confederation. Hata Uto ilipocheza Shirikisho haikuwahi. Na hata ingeshiriki haingewekwa pot 1Pot 1 ya kombe gani?
7/10/2024 siku ya jumatatu saa nane shirikisho saa tisa championHivi Makundi yatapangwa lini
Naunga mkono hoja.Mods wangekuwa wanafuta mada za kiduanzi kama hizi.
Kichwa majiNaona Simba inaweka rekodi nyingine hapa.. Simba inekuwa timu ya kwanza Tanzania kuwahi kuwekwa Pot 1.
Yes. Kulingana na CAF club ranking points, the team receiving more points in the previous season is considered as the higher-ranked team. E.g Yanga 31 points, Pyramids 29.Mkuu elimu zaid naiomba toka kwako. Ndani ya pot moja (lolote), wa juu ndo bora zaidi kuliko wa chini?
Hivyo ndivyo ilivyo unapoona timu ipo nafasi ya kwanza kwenye poti husika ina maana yenyewe ina pointi nyingi kuliko timu iliyochini yake yani ni bora kuliko timu ya chini yake katika hilo poti husika..Mkuu elimu zaid naiomba toka kwako. Ndani ya pot moja (lolote), wa juu ndo bora zaidi kuliko wa chini?
Usilete Habari ya simba ukiongea mambo ya caf champions league . Simba anacheza na wadogo wenzake sawa .Yanga mumepata mseleleko Sasa kazi mnayio ππ
View: https://www.instagram.com/p/DAO9o1wM3K5/?igsh=MTc5aDRia2NxbWtjag==
My Take: Safari yenu imefika mwisho
Simba wao ni wakubwa watapangwa kundi la vibonde
View: https://www.instagram.com/p/DAO5-s9PIh2/?igsh=MWFjeGlnbXJjbDY0Mw==
Ulikuwa unaamisha nini mdau?Yanga mumepata mseleleko Sasa kazi mnayio ππ
View: https://www.instagram.com/p/DAO9o1wM3K5/?igsh=MTc5aDRia2NxbWtjag==
My Take: Safari yenu imefika mwisho
Simba wao ni wakubwa watapangwa kundi la vibonde
View: https://www.instagram.com/p/DAO5-s9PIh2/?igsh=MWFjeGlnbXJjbDY0Mw==