uran
JF-Expert Member
- Nov 11, 2013
- 10,392
- 15,948
Ndio mkuuMkuu elimu zaid naiomba toka kwako. Ndani ya pot moja (lolote), wa juu ndo bora zaidi kuliko wa chini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio mkuuMkuu elimu zaid naiomba toka kwako. Ndani ya pot moja (lolote), wa juu ndo bora zaidi kuliko wa chini?
Na timu za Poti moja hazikutani.Hivyo ndivyo ilivyo unapoona timu ipo nafasi ya kwanza kwenye poti husika ina maana yenyewe ina pointi nyingi kuliko timu iliyochini yake yani ni bora kuliko timu ya chini yake katika hilo poti husika..
Kwani siyo kweli?Kichwa maji
Yanga mumepata mseleleko Sasa kazi mnayio 👇👇
View: https://www.instagram.com/p/DAO9o1wM3K5/?igsh=MTc5aDRia2NxbWtjag==
My Take: Safari yenu imefika mwisho
Simba wao ni wakubwa watapangwa kundi la vibonde
View: https://www.instagram.com/p/DAO5-s9PIh2/?igsh=MWFjeGlnbXJjbDY0Mw==
Hapa nakataa. Unaweza kufuzu champions league kutokea ligi mbovu na unaweza kuwa shirikisho kwa kutokea ligi boraClub bingwa hakunaga kibonde maana hao ndo mabingwa wa ligi za nchi zao. Vibonde wapo kwenye kombe la mshikamano aka shirikisho.
😀😀😀😀 jamaa anafikiri jayo ndio makundiNina uhakika hata ulichokileta haukielewi
Yanga mumepata mseleleko Sasa kazi mnayio 👇👇
View: https://www.instagram.com/p/DAO9o1wM3K5/?igsh=MTc5aDRia2NxbWtjag==
My Take: Safari yenu imefika mwisho
Simba wao ni wakubwa watapangwa kundi la vibonde
View: https://www.instagram.com/p/DAO5-s9PIh2/?igsh=MWFjeGlnbXJjbDY0Mw==
Yanga mumepata mseleleko Sasa kazi mnayio 👇👇
View: https://www.instagram.com/p/DAO9o1wM3K5/?igsh=MTc5aDRia2NxbWtjag==
My Take: Safari yenu imefika mwisho
Simba wao ni wakubwa watapangwa kundi la vibonde
View: https://www.instagram.com/p/DAO5-s9PIh2/?igsh=MWFjeGlnbXJjbDY0Mw==
Ni sawa na kusema chuo kikuu hakunaga wa mwisho, kisa kila mtu alikuwa kipanga alikotoka..!!! Kuna ukibonde wa kombe lipi upo, na kuna ukibonde wa wewe wa ngapi kwenye poti lenuClub bingwa hakunaga kibonde maana hao ndo mabingwa wa ligi za nchi zao. Vibonde wapo kwenye kombe la mshikamano aka shirikisho.
Naona Simba inaweka rekodi nyingine hapa.. Simba inekuwa timu ya kwanza Tanzania kuwahi kuwekwa Pot 1.
Huyu alichokielewa ni kwamba hiyo pot 2 ni sawa sawa na kundi. Hivyo yeye kaona kundi la Yanga ndilo hilo kuna Pyramids, Raja, na Belouizdad.Bila shaka haelewi, anadhani yanga atakutana na timu zote za pot no 1.
Sijui kawaza nini hadi kuandika hivyo.