Hii ndio sahihi ya Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba kwenye noti mpya zilizoanza kutumika Februari

Hii ndio sahihi ya Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba kwenye noti mpya zilizoanza kutumika Februari

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Wakuu

Hii ndio sahihi ya Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba kwenye noti mpya zilizoanza kutumika Februari 2025 kama ilivyotangazwa wiki kadhaa zilizopita.

Soma: Tanzania yazindua Noti Mpya toleo la 2010 zenye Saini ya Waziri Mwigulu Nchemba na Gavana Emmanuel Tutuba

Noti ya elfu 5 (5,000/-)
photo-output.jpeg
photo-output.jpeg

Noti ya elfu 10 (10,000/-

1738573414575.png
 
Wakuu

Hii ndio sahihi ya Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba kwenye noti mpya zilizoanza kutumika Februari 2025 kama ilivyotangazwa wiki kadhaa zilizopita.

Soma: Tanzania yazindua Noti Mpya toleo la 2010 zenye Saini ya Waziri Mwigulu Nchemba na Gavana Emmanuel Tutuba

Noti ya elfu 5 (5,000/-)
Noti ya elfu 10 (10,000/-

Sawa sawa hongera kwao Kwa kuweka signature kwenye pesa ni achievement kwao
 
Wanyaturu watu wa ajabu sana,
Huko Kilimanjaro wafuatao waliwahi kuwa mawaziri wa fedha na Gavana wa BoT ili hawakuwa washamba.
1. Cleopa Msuya
2. Basil Mramba
3. Zakhia Majid
4. Edwin Mtei
 
Back
Top Bottom