Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
😂😂😂Wakuu
Hii ndio sahihi ya Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba kwenye noti mpya zilizoanza kutumika Februari 2025 kama ilivyotangazwa wiki kadhaa zilizopita.
Noti ya elfu 5 (5,000/-)
Noti ya elfu 10 (10,000/-
Sawa sawa hongera kwao Kwa kuweka signature kwenye pesa ni achievement kwaoWakuu
Hii ndio sahihi ya Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba kwenye noti mpya zilizoanza kutumika Februari 2025 kama ilivyotangazwa wiki kadhaa zilizopita.
Soma: Tanzania yazindua Noti Mpya toleo la 2010 zenye Saini ya Waziri Mwigulu Nchemba na Gavana Emmanuel Tutuba
Noti ya elfu 5 (5,000/-)
Noti ya elfu 10 (10,000/-
Hata mimi sijaiona NAmesahau kuweka 'N' kwenye Nchemba.
Irudiwe hiyo
Yapi tena mkuu?YANAMWISHO
Kwanini?Upuuzi upuuzi tu
Mwigulu sasa anaweza kufikiri hela yote nchini ni ya kwake...Wakuu
Hii ndio sahihi ya Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba kwenye noti mpya zilizoanza kutumika Februari 2025 kama ilivyotangazwa wiki kadhaa zilizopita.
Soma: Tanzania yazindua Noti Mpya toleo la 2010 zenye Saini ya Waziri Mwigulu Nchemba na Gavana Emmanuel Tutuba
Noti ya elfu 5 (5,000/-)
Noti ya elfu 10 (10,000/-
Kwani saini inabadilisha nini kwenye notiKwanini?