Open school
JF-Expert Member
- Jul 13, 2015
- 1,158
- 1,746
Hii ndivyo wazungu wanavyosafisha masikio yaliyoziba kwa uchafu. Kwa madaktari wa Afrika wanakupiga bomba lenye maji ya moto.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wenzetu wame-advance sana.Sisi sukari inatushinda tutayaweza mambo hayo mengine.
Sukari ipi? Na wapi tuliposhindwa ufafanue mkuuSisi sukari inatushinda tutayaweza mambo hayo mengine.
Watu wa nakunywa chai kwa muwa ili wapate utamu au huoni hayo.Sukari ipi? Na wapi tuliposhindwa ufafanue mkuu
Haaaaaaa, Haaaaaaa. ..nimekusomaWatu wa nakunywa chai kwa muwa ili wapate utamu au huoni hayo.
Hii ndivyo wazungu wanavyosafisha masikio yaliyoziba kwa uchafu. Kwa madaktari wa Afrika wanakupiga bomba lenye maji ya moto.