Hii ndio target yangu kabla kuacha kazi/Ajira

Hii ndio target yangu kabla kuacha kazi/Ajira

Yaani unapanga kuacha kazi Kabla hata hujapata ajira? Are you serious? Unataka kuwa mfanya biashara wa aina hiyo afu unataka kuajiriwa? Unajua mishahara ya kwenye ajira then uwe na business za 25m afu ziwe 3! Everything is possible lakini jaribu kuzichanga upya achana na maswala ya kuajiriwa hasa uticha ndo kabisaaa
Nilitaka kuuliza hili kwamba atapata wapi hela ya kuandaa biashara ambayo annual income iwe 25m , yaan akibahatika kupata ajira nzuri atapata 1.5m per month ambayo kwa mwaka atakua na 18m hapo bado kodi, nauli, kula, mavazi, vocha, kusaidia ndugu n.k
 
Saloot

Leo ngoja ni-share na nyie wana jukwaa mipango/Focus zangu na nyie wanajukwaa.

Binafsi endapo nitaajiriwa baadae nitaacha kazi tu sitozeeka kwenye kazi ila sitaacha kazi kizembe...story nyingi nazoziona mtu anaacha kazi hana hata Duka la million 1 that not healthy kwakweli.

Focus yangu, nitaacha kazi pale tu nitapojilizisha ninamiliki Biashara sichini ya 3 zenye mtaji isiyopungua 25M kilamoja ambayo kila Biashara moja inaingiza minimum 4M/Month So Biashara zote tatu zinanipa minimum ya 12M per month as turnover hapo ndipo nitaacha kazi rasmi nakwenda kuendelea na Investment life....

Mbarikiwe ngoja niwai Ferry kuangalia Meli na pantoni.
Ni rahisi kusema kuliko kutenda...wengi waliopo kwenye kazi wana mitaji mikubwa sana...changamoto ni ili uwe na biashara yenye faida lazima usimamizi ambao huwezi kuufanya ukiwa kwenye ajira....ukiingia ndio utaona hali ilivyo.
Ni ngumu kibongo bongo...ndio maana wenye uthubutu huacha kazi kuanzisha biashara
..lakini hakuna lisilowezekana chini ya jua.
 
Ukiwa na mipango mingi hivyo hitapata kazi aisee. Nina jamaa yangu ni kichwa alikwenda kwenye zile interview za wakati ule ajira za TRA wakawa applicant 50,000 kwenye ajira sijui hata elfu moja hazikufika.
Alipita michujo yote mpaka mpaka top 100 anashika nafasi ya 10 lakini ajira alikosa. Nikamwambia hapa tumepigwa hizi ajira wamepewa kwa kujuana.
Naye ana malengo makubwa sana ndo mana naona anakwama.
Hapo ndo ujue mtoto fulani wa kigogo kakaa kizezeta tu kwa vile kasoma huko Australia ndio watampa ajira sisi wa hali ya chini tuendelee kusubiri
 
Ukiwa na mipango mingi hivyo hitapata kazi aisee. Nina jamaa yangu ni kichwa alikwenda kwenye zile interview za wakati ule ajira za TRA wakawa applicant 50,000 kwenye ajira sijui hata elfu moja hazikufika.
Alipita michujo yote mpaka mpaka top 100 anashika nafasi ya 10 lakini ajira alikosa. Nikamwambia hapa tumepigwa hizi ajira wamepewa kwa kujuana.
Naye ana malengo makubwa sana ndo mana naona anakwama.
Hapo ndo ujue mtoto fulani wa kigogo kakaa kizezeta tu kwa vile kasoma huko Australia ndio watampa ajira sisi wa hali ya chini tuendelee kusubiri
Watu 50K [emoji23] [emoji23]
 
Saloot

Leo ngoja ni-share na nyie wana jukwaa mipango/Focus zangu na nyie wanajukwaa.

Binafsi endapo nitaajiriwa baadae nitaacha kazi tu sitozeeka kwenye kazi ila sitaacha kazi kizembe...story nyingi nazoziona mtu anaacha kazi hana hata Duka la million 1 that not healthy kwakweli.

Focus yangu, nitaacha kazi pale tu nitapojilizisha ninamiliki Biashara sichini ya 3 zenye mtaji isiyopungua 25M kilamoja ambayo kila Biashara moja inaingiza minimum 4M/Month So Biashara zote tatu zinanipa minimum ya 12M per month as turnover hapo ndipo nitaacha kazi rasmi nakwenda kuendelea na Investment life....

Mbarikiwe ngoja niwai Ferry kuangalia Meli na pantoni.
Kwahuo mtaji unaotafuta hapo kazini ndani ya miaka 7 angalia wasije wakakufunga tu kwa kesi ya kuhujumu uchumi kabla hujaacha kazi na kukuajiri, maana kwa hii mishahara ninayoifahamu kupata huo mtaji ndani ya kipindi hicho ni changamoto
 
Kwa hii mipango yako bro, sidhani kama utaacha kazi aisee [emoji23]
 
Saloot

Leo ngoja ni-share na nyie wana jukwaa mipango/Focus zangu na nyie wanajukwaa.

Binafsi endapo nitaajiriwa baadae nitaacha kazi tu sitozeeka kwenye kazi ila sitaacha kazi kizembe...story nyingi nazoziona mtu anaacha kazi hana hata Duka la million 1 that not healthy kwakweli.

Focus yangu, nitaacha kazi pale tu nitapojilizisha ninamiliki Biashara sichini ya 3 zenye mtaji isiyopungua 25M kilamoja ambayo kila Biashara moja inaingiza minimum 4M/Month So Biashara zote tatu zinanipa minimum ya 12M per month as turnover hapo ndipo nitaacha kazi rasmi nakwenda kuendelea na Investment life....

Mbarikiwe ngoja niwai Ferry kuangalia Meli na pantoni.
utoacha kazi kwa plan hizo.
 
Back
Top Bottom