October man
JF-Expert Member
- Nov 23, 2017
- 3,635
- 5,012
- Thread starter
-
- #21
[emoji23] [emoji23] woooKwa huu upuuzi uliouandika nakuombea kwa Mungu uajiriwe halafu ufanye hizo biashara za faida za milioni 12 kwa mwezi halafu uache Nazi...kila LA heri
Nilitaka kuuliza hili kwamba atapata wapi hela ya kuandaa biashara ambayo annual income iwe 25m , yaan akibahatika kupata ajira nzuri atapata 1.5m per month ambayo kwa mwaka atakua na 18m hapo bado kodi, nauli, kula, mavazi, vocha, kusaidia ndugu n.kYaani unapanga kuacha kazi Kabla hata hujapata ajira? Are you serious? Unataka kuwa mfanya biashara wa aina hiyo afu unataka kuajiriwa? Unajua mishahara ya kwenye ajira then uwe na business za 25m afu ziwe 3! Everything is possible lakini jaribu kuzichanga upya achana na maswala ya kuajiriwa hasa uticha ndo kabisaaa
Ni rahisi kusema kuliko kutenda...wengi waliopo kwenye kazi wana mitaji mikubwa sana...changamoto ni ili uwe na biashara yenye faida lazima usimamizi ambao huwezi kuufanya ukiwa kwenye ajira....ukiingia ndio utaona hali ilivyo.Saloot
Leo ngoja ni-share na nyie wana jukwaa mipango/Focus zangu na nyie wanajukwaa.
Binafsi endapo nitaajiriwa baadae nitaacha kazi tu sitozeeka kwenye kazi ila sitaacha kazi kizembe...story nyingi nazoziona mtu anaacha kazi hana hata Duka la million 1 that not healthy kwakweli.
Focus yangu, nitaacha kazi pale tu nitapojilizisha ninamiliki Biashara sichini ya 3 zenye mtaji isiyopungua 25M kilamoja ambayo kila Biashara moja inaingiza minimum 4M/Month So Biashara zote tatu zinanipa minimum ya 12M per month as turnover hapo ndipo nitaacha kazi rasmi nakwenda kuendelea na Investment life....
Mbarikiwe ngoja niwai Ferry kuangalia Meli na pantoni.
Haaaaaa easy likeABC social media billionaireAcha kazi ujiunge na network marketing uwe bilionea ndani ya mda mfupi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] motivational speakers makes every business to be seem very easy.Haaaaaa easy likeABC social media billionaire
Watu 50K [emoji23] [emoji23]Ukiwa na mipango mingi hivyo hitapata kazi aisee. Nina jamaa yangu ni kichwa alikwenda kwenye zile interview za wakati ule ajira za TRA wakawa applicant 50,000 kwenye ajira sijui hata elfu moja hazikufika.
Alipita michujo yote mpaka mpaka top 100 anashika nafasi ya 10 lakini ajira alikosa. Nikamwambia hapa tumepigwa hizi ajira wamepewa kwa kujuana.
Naye ana malengo makubwa sana ndo mana naona anakwama.
Hapo ndo ujue mtoto fulani wa kigogo kakaa kizezeta tu kwa vile kasoma huko Australia ndio watampa ajira sisi wa hali ya chini tuendelee kusubiri
Kwahuo mtaji unaotafuta hapo kazini ndani ya miaka 7 angalia wasije wakakufunga tu kwa kesi ya kuhujumu uchumi kabla hujaacha kazi na kukuajiri, maana kwa hii mishahara ninayoifahamu kupata huo mtaji ndani ya kipindi hicho ni changamotoSaloot
Leo ngoja ni-share na nyie wana jukwaa mipango/Focus zangu na nyie wanajukwaa.
Binafsi endapo nitaajiriwa baadae nitaacha kazi tu sitozeeka kwenye kazi ila sitaacha kazi kizembe...story nyingi nazoziona mtu anaacha kazi hana hata Duka la million 1 that not healthy kwakweli.
Focus yangu, nitaacha kazi pale tu nitapojilizisha ninamiliki Biashara sichini ya 3 zenye mtaji isiyopungua 25M kilamoja ambayo kila Biashara moja inaingiza minimum 4M/Month So Biashara zote tatu zinanipa minimum ya 12M per month as turnover hapo ndipo nitaacha kazi rasmi nakwenda kuendelea na Investment life....
Mbarikiwe ngoja niwai Ferry kuangalia Meli na pantoni.
utoacha kazi kwa plan hizo.Saloot
Leo ngoja ni-share na nyie wana jukwaa mipango/Focus zangu na nyie wanajukwaa.
Binafsi endapo nitaajiriwa baadae nitaacha kazi tu sitozeeka kwenye kazi ila sitaacha kazi kizembe...story nyingi nazoziona mtu anaacha kazi hana hata Duka la million 1 that not healthy kwakweli.
Focus yangu, nitaacha kazi pale tu nitapojilizisha ninamiliki Biashara sichini ya 3 zenye mtaji isiyopungua 25M kilamoja ambayo kila Biashara moja inaingiza minimum 4M/Month So Biashara zote tatu zinanipa minimum ya 12M per month as turnover hapo ndipo nitaacha kazi rasmi nakwenda kuendelea na Investment life....
Mbarikiwe ngoja niwai Ferry kuangalia Meli na pantoni.
Hii kauli inauma sana hii mkuu.Ninaomba nikuambie tu kuwa utaajiriwa mpaka unakufa.