Hii Ndio TOP 10 Yangu Ligi Kuu Tanzania Bara [VPL] 2019/2020..

Hii Ndio TOP 10 Yangu Ligi Kuu Tanzania Bara [VPL] 2019/2020..

Habari wadau wa soka..!!
Ukiwa msimu mpya ligi kuu Tanzania Bara Vodacom Primier League (VPL)Umeanza baada ya Msimu uliopita kumalizika na Bingwa kuwa Simba Sc.
.. Ikumbukwe msimu uliopita hakukuwa na mdhamini mkuu wa LIGI hivyo kufanya Msimu uliopita kuwa wa mateso kwa Timu nyingi.
.. Msimu huu Vodacom ndie MDHAMINI WA LIGI KUU, wametoa Tsh BILLION 9 kwa miaka mitatu (3).. Hivyo ni mwanya kwa timu kufanya vzr Zaidi uwanjani.
HII NI TOP 10 YANGU KWA HUU MSIMU MPYA.
1. Simba Sc
2. Azam Fc
3. Yanga
4. Lipuli Fc
5. Mtibwa Sugar
6. K.M.C
7. Tz Prisons
8. JKT Tanzania
9. Mbeya City
10. Polisi Tanzania

NB:Maoni Yangu
na hao kwasukwasu namba tatu umewapendelea sana
 
Habari wadau wa soka..!!
Ukiwa msimu mpya ligi kuu Tanzania Bara Vodacom Primier League (VPL)Umeanza baada ya Msimu uliopita kumalizika na Bingwa kuwa Simba Sc.
.. Ikumbukwe msimu uliopita hakukuwa na mdhamini mkuu wa LIGI hivyo kufanya Msimu uliopita kuwa wa mateso kwa Timu nyingi.
.. Msimu huu Vodacom ndie MDHAMINI WA LIGI KUU, wametoa Tsh BILLION 9 kwa miaka mitatu (3).. Hivyo ni mwanya kwa timu kufanya vzr Zaidi uwanjani.
HII NI TOP 10 YANGU KWA HUU MSIMU MPYA.
1. Simba Sc
2. Azam Fc
3. Yanga
4. Lipuli Fc
5. Mtibwa Sugar
6. K.M.C
7. Tz Prisons
8. JKT Tanzania
9. Mbeya City
10. Polisi Tanzania

NB:Maoni Yangu
Pamoja Azam ndy timu kubwa
 
Hongera mkuu.

Yangu mimi nisingemuacha namungo
Habari wadau wa soka..!!
Ukiwa msimu mpya ligi kuu Tanzania Bara Vodacom Primier League (VPL)Umeanza baada ya Msimu uliopita kumalizika na Bingwa kuwa Simba Sc.
.. Ikumbukwe msimu uliopita hakukuwa na mdhamini mkuu wa LIGI hivyo kufanya Msimu uliopita kuwa wa mateso kwa Timu nyingi.
.. Msimu huu Vodacom ndie MDHAMINI WA LIGI KUU, wametoa Tsh BILLION 9 kwa miaka mitatu (3).. Hivyo ni mwanya kwa timu kufanya vzr Zaidi uwanjani.
HII NI TOP 10 YANGU KWA HUU MSIMU MPYA.
1. Simba Sc
2. Azam Fc
3. Yanga
4. Lipuli Fc
5. Mtibwa Sugar
6. K.M.C
7. Tz Prisons
8. JKT Tanzania
9. Mbeya City
10. Polisi Tanzania

NB:Maoni Yangu
 
Habari wadau wa soka..!!
Ukiwa msimu mpya ligi kuu Tanzania Bara Vodacom Primier League (VPL)Umeanza baada ya Msimu uliopita kumalizika na Bingwa kuwa Simba Sc.
.. Ikumbukwe msimu uliopita hakukuwa na mdhamini mkuu wa LIGI hivyo kufanya Msimu uliopita kuwa wa mateso kwa Timu nyingi.
.. Msimu huu Vodacom ndie MDHAMINI WA LIGI KUU, wametoa Tsh BILLION 9 kwa miaka mitatu (3).. Hivyo ni mwanya kwa timu kufanya vzr Zaidi uwanjani.
HII NI TOP 10 YANGU KWA HUU MSIMU MPYA.
1. Simba Sc
2. Azam Fc
3. Yanga
4. Lipuli Fc
5. Mtibwa Sugar
6. K.M.C
7. Tz Prisons
8. JKT Tanzania
9. Mbeya City
10. Polisi Tanzania

NB:Maoni Yangu
Umetabiri vizuri kwa kuwa TFF wameshatengeneza zingira kwa Mikia FC
 
Simba mwisho wa msimu atakua amekusanya aidha magoli 100 au points 100 au vyote kwa pamoja
 
Umetabiri vizuri kwa kuwa TFF wameshatengeneza zingira kwa Mikia FC
Hizi tabia zenu za kike na lawama zitawaisha lini?..
Mazingira gani ambayo wewe unayaona tofauti na Ruvu kuonewa waziwazi lakini Yanga ndio mnalaumu
 
Back
Top Bottom