Shikamoo Zero IQ [emoji119][emoji119]kila mtu anaplay list yake kwa inbox yake ya simu kule kwenye sms hii sasa ndio Top list yangu ya leo,
Kule kwa box yangu leoTop ni hii tu.
View attachment 1153687
Cc Zero IQ
Mkuu,hapo kwa Josephina umetisha sana![emoji16][emoji16][emoji16] kafanyaje
[emoji23][emoji23][emoji23]We zikanyage tu
Mtakutana jehanamu nyieMzee nikikukuta mbinguni nakata rufaa
Ya wema bwana we itikia tu[emoji16][emoji16] salamu ya wema kweli hii mkuu
Jusus Christ of Nazareth!! . unasahau kuwa mungu ametuleta duniani ili tumtumikie, tumdifu na kumuabudu ..hiyo ndyo vital role [emoji41][emoji41]Sishindani nazo ila ndio kazi niliyoijia Duniani maisha yenyewe mafupi haya nikifa itakuwa hajari kazini
Mtakutana jehanamu nyie
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] na lazima utanikuta tu mkuu
Ata bila chips futi 6 lazimHahah Zero IQ ndio baharia Mwandamizi wa Sekta ya kuvua na kupiga mkuyenge! Angalia Chips zisikupeleke futi 6 kabla ya wakati Baharia mwenzangu.
Ila mtoto wakike na chips kuku dah [emoji23][emoji23][emoji23] na zitawavuka sana mwaka huu.