Hii ndio top play list yangu ya leo kwenye Phone inbox(SmS)

Sishindani nazo ila ndio kazi niliyoijia Duniani maisha yenyewe mafupi haya nikifa itakuwa hajari kazini
Jusus Christ of Nazareth!! . unasahau kuwa mungu ametuleta duniani ili tumtumikie, tumdifu na kumuabudu ..hiyo ndyo vital role [emoji41][emoji41]
 
Hahah Zero IQ ndio baharia Mwandamizi wa Sekta ya kuvua na kupiga mkuyenge! Angalia Chips zisikupeleke futi 6 kabla ya wakati Baharia mwenzangu.

Ila mtoto wakike na chips kuku dah [emoji23][emoji23][emoji23] na zitawavuka sana mwaka huu.
Ata bila chips futi 6 lazim
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…