Hii ndio Yatch party ya Diamond ?

Hii ndio Yatch party ya Diamond ?

Jamani , nilivyosikia party ya diamond kiingilio dollar mia tano, wacha pressure inipande warumi Mimi , nikajua itakua party ya kufa mtu , nikategemea kuona party itakua level ya kistaa kama alivyo diamond mwenyewe, nikategemea kuona watu wazito wenye heshima zao .

Diamond Ana pesa Ila hanaga class, yani yupo yupo tu, Leo ndo nimeamini money can not buy classy , yani party ya dollar 500 mpaka akina juma lokole wapo? Diamond excuse me , next time ujipange, umejaza mijanamke ya uswazi hawana mbele wala nyuma, diamond should learn from other celebrities , aache mazoea na watu wa kipumbavu

Party ya kiswazi, uchafu mtu , wanawake wachafu, mpangilio wa nguo watu kama wanaenda kwenye msiba, in short haijanishtua bado
Njoo kwangu nikushtue usijali
 
Wew elimu yako inakusaidia nini ? Mbona we m'beya wa kutupa ...ao una degre ya umbea...[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji28][emoji28][emoji28]

Phd ya umbea
 
Jamani , nilivyosikia party ya diamond kiingilio dollar mia tano, wacha pressure inipande warumi Mimi , nikajua itakua party ya kufa mtu , nikategemea kuona party itakua level ya kistaa kama alivyo diamond mwenyewe, nikategemea kuona watu wazito wenye heshima zao .

Diamond Ana pesa Ila hanaga class, yani yupo yupo tu, Leo ndo nimeamini money can not buy classy , yani party ya dollar 500 mpaka akina juma lokole wapo? Diamond excuse me , next time ujipange, umejaza mijanamke ya uswazi hawana mbele wala nyuma, diamond should learn from other celebrities , aache mazoea na watu wa kipumbavu

Party ya kiswazi, uchafu mtu , wanawake wachafu, mpangilio wa nguo watu kama wanaenda kwenye msiba, in short haijanishtua bado

Haha hata mademu ambao huwakojolea huyu kijana ni ushahidi tosha hana class. Huwa abagui papuchii
 
Wait a minute....

Kwani, hao ‘wanawake wa uswazi’ wao si binadamu wanaostahili kufurahia maisha kama binadamu wengine ambao si wa ‘uswazi’?

Huyo Juma Lokole naye si binadamu?

Dhana potofu ya kudhani kwamba baadhi ya binadamu hawastahili mambo flani flani ni ya kipumbavu sana.

Binadamu ni binadamu tu. Ubinadamu wake haupimwi na hali yake ya kimaisha, eneo aishipo, au vigezo vingine vilivyo vya kijinga namna hiyo.
 
Jamani , nilivyosikia party ya diamond kiingilio dollar mia tano, wacha pressure inipande warumi Mimi , nikajua itakua party ya kufa mtu , nikategemea kuona party itakua level ya kistaa kama alivyo diamond mwenyewe, nikategemea kuona watu wazito wenye heshima zao .

Diamond Ana pesa Ila hanaga class, yani yupo yupo tu, Leo ndo nimeamini money can not buy classy , yani party ya dollar 500 mpaka akina juma lokole wapo? Diamond excuse me , next time ujipange, umejaza mijanamke ya uswazi hawana mbele wala nyuma, diamond should learn from other celebrities , aache mazoea na watu wa kipumbavu

Party ya kiswazi, uchafu mtu , wanawake wachafu, mpangilio wa nguo watu kama wanaenda kwenye msiba, in short haijanishtua bado
Screenshot_20181008-203740.png
 
Back
Top Bottom