Hii ndio Yatch party ya Diamond ?

Hii ndio Yatch party ya Diamond ?

Kama huelewi maana ya class nyama za ... Why mengi alimuoa Jackline ntuyabaliwe na sio gigy money au umber lulu ?
Muulize Mzee Mengi ndio alieoa ndugu yangu, labda nikuulize kuna siku Mengi alishatangaza sababu iliyomfanya amuoe bibie Jack?
 
Jamani , nilivyosikia party ya Diamond kiingilio dollar mia tano, wacha pressure inipande warumi Mimi , nikajua itakua party ya kufa mtu , nikategemea kuona party itakua level ya kistaa kama alivyo Diamond mwenyewe, nikategemea kuona watu wazito wenye heshima zao .

Diamond ana pesa Ila hanaga class, yani yupo yupo tu, Leo ndo nimeamini money can not buy classy , yani party ya dollar 500 mpaka akina juma lokole wapo? Diamond excuse me , next time ujipange, umejaza mijanamke ya uswazi hawana mbele wala nyuma, diamond should learn from other celebrities , aache mazoea na watu wa kipumbavu

Party ya kiswazi, uchafu mtu , wanawake wachafu, mpangilio wa nguo watu kama wanaenda kwenye msiba, in short haijanishtua bado
Wanaume Wa Sasa Mna Wivu Kuliko Dada Zenu...
 
C wivu nikajua itakua talk of the town , hakuna ata anayeishobokea

Toka domo aachane na zari Hana classy wala heshima
Zari mwenyewe mdangaji tu..a lady with classy can to relate Dr Sandra n u know!
 
Diamond is not of my class , he is illiterate, pesa haiwez nunua class , arudi shule akasome, domo sio type yangu , Hana class wala elimu
Wewe phd yako ya umbea umeipatia wapi?, huenda wapo wengi wangependa nao waipate.
 
Back
Top Bottom