sodoliki
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 2,593
- 2,019
Picha hii imekuwa edited na mjinga le mutuz. Ili amharibie mwanukuzi bassilaHuu ndio ukweli , hata kama hali ni ngumu lakini gari hii sijaridhika apewe mrembo wa kisasa , ni gari ya kizamani sana ! labda kama bado Mashindano haya yanasimamiwa na Hashim Lundenga ( Mzee wa 10% )View attachment 860870