cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 27,885
- 76,043
Mamiss wenyewe used unataka wapewe brand new,ka ingekuwa mashindano ya bikra wangepewa mpya.Afu hilo gari ni used bila shaka
Wenyewe watakwambia mpya kwa sababu ni mtumba wa JapanAfu hilo gari ni used bila shaka
aisee nakazia hapoMamiss wenyewe used unataka wapewe brand new,ka ingekuwa mashindano ya bikra wangepewa mpya.
kweli hali teteWenyewe watakwambia mpya kwa sababu ni mtumba wa Japan
Gari ndio ile ile seme imeoshwa...ile nyingine ilipigwa wakati haijaoshwa...lakini hii ndio gari ya kumpa miss tanzania kweli?
Wewe uliyekuja kuongeza ujinga wako wa forex kwenye comment yangu you are a TWAT.kumbe ni halali yao
Kwahiyo kama mshindi wa miss tanzania atakua pia ni mshindi aliyetokea kanda ya ziwa ina maana kuna binti atakua na passo na swift.
Safi sana kwa kuanza maisha ukiwa na magari mawili.
ook sorryWewe
uliyekuja kuongeza ujinga wako wa
forex kwenye comment yangu you are a TWAT.