Hii ndio Zawadi/gari aliyopewa Mshindi wa Miss Tanzania 2018

zawadi haijanifedheesha kama mshindi wa taji!! ni mbaya wala havutii
nikiangaliaaaaa.......
naona namba2 alistahili taji la miss tz
 
chaa ajabu hata hiyo gari yenyewe watamzungusha sana hadi aipate... next year nadhamini miss tz naandaa rolls royce phantom coupe
 
Huyo Miss mwenyewe mkuu kama hujamuona ni afadhali uka ahirisha huo mpango wa kutaka kumuona. Unaweza ukalazwa hospitali. Kiufupi ni afadhali sura ya Dr. Remmy Ongala (R. I. P)
[emoji15] [emoji15] [emoji15]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…