Hii Ndiyo Arabuni...!!!

Hii Ndiyo Arabuni...!!!

Binafsi waarabu wenye roho nzuri in the gulf countries ni OMAN. hakuna vita, wezi,ujambazi wala uhalifu wa aina yoyote. watu wake ni wakarimu mno, ni nchi ambayo Mtume Muhammad SAW ameiombea dua, na ndio mana hadi leo hii nchi ya OMAN imetulia, Amani tele kuliko nchi yoyote ile, vilevile inaheshimu immigrants, dini za watu, madhehebu.nilipata bahati kwenda huko nimejionea hawa waarabu Mungu amewabariki mnoo sijapata kuona.raia wa kule mkipishana lazima akupungie mkono/kukusalimia, au uwe unasubili teksi anastopu anakupakia.


Na sisi huku tunapaswa kuiga tabia zao, na sio kuwekeana chuki baina yetu.
Waarabu wa omani huyo dua waliyoombewa na mtume imekuwa ni mtihani kwao baada yaxmiaka 20 omani inachukuliwa au itaitwa Omanistan kwa sababu wabulushi wanabigana miti lakini waarabu wenyewe wamekalia humaruu wàkati wakijua pubda hazai binadamu Qaboos hana mrithi warithi wake wataakuwa wale vijana wa kiblushu
 
Waarabu wa omani huyo dua waliyoombewa na mtume imekuwa ni mtihani kwao baada yaxmiaka 20 omani inachukuliwa au itaitwa Omanistan kwa sababu wabulushi wanabigana miti lakini waarabu wenyewe wamekalia humaruu wàkati wakijua pubda hazai binadamu Qaboos hana mrithi warithi wake wataakuwa wale vijana wa kiblushu


Haya maneno ya kwenye kahawa mkuu, wengi wanaingea wanavyojisikia lakini ni uzushi tu. wabulushi kweli wapo ila ni wachache sana ukilinganisha na waomani wenyewe, na hiyo kuitwa omanistan haitatokea, wale jamaa wana umoja na mshikamano, na Inasemekana mrithi wake atakuwa mtoto wa baba yake mdogo"Asad bin taariq.

_103348_om3.jpg


Huyo mrefu
 
Haya maneno ya kwenye kahawa mkuu, wengi wanaingea wanavyojisikia lakini ni uzushi tu. wabulushi kweli wapo ila ni wachache sana ukilinganisha na waomani wenyewe, na hiyo kuitwa omanistan haitatokea, wale jamaa wana umoja na mshikamano, na Inasemekana mrithi wake atakuwa mtoto wa baba yake mdogo"Asad bin taariq.

View attachment 1013961

Huyo mrefu
Ndg
Nyie mnanipa mtihani Wa kwenda kutembelea Oman !!
 
Nilishawahi kuongea hili, na ninasisitiza, uwe mwafrica, uwe mchina, uwe mu iran, uwe mrusi. Ni ndoto yao kubwa kuishi ulaya au marekani, na hapo zawadi kubwa ambayo kawapa ni hizo apartmen hapo london. Tukiacha unazi hakuna binadam ambaye hahusudu maisha ya kimagharibi. Over
Yanawafaa wakimbizi wa vita..bora muhogo na kisamvu kuliko maisha ya upweke...
 
Qatar wana haki ya kufurahia lakini UAE ni nchi ya Kiarabu ambayo ina uwezo wa kutengeneza silaha zake yenyewe kitu ambacbo Qatar haiwezi.

UAE ni warabu wenye akili sana kuliko waarabu wote ukitoa Wamisri na wayemen.UAE inauwezo wa kurusha Satelite angani bila msaada wa nchi yeyote ile.
Mkuu unaongea tu au una any supportive evidence. Fahamu kuwa gulf countries apart from Iran ni ngumu kuruhusiwa kufanya advancement yyte ile sabb ni tishio kwa US na Israel. Kwahyo inakuwa hamna namna zaidi ya kujially to na america. Hizo silaha na hata sattelite ni kazi ya wa US na UK.( ice prince wa black water ana contract nyingi za ulinzi UAE) Na kama nchi yenye ubora wa elimu na utajiri wa wannachi (per capital 130,000usd) na Qatar population ya RAIA ni 600k kwahyo standard of living na elimu iko juu kushinda UAE.
 
Nilishawahi kuongea hili, na ninasisitiza, uwe mwafrica, uwe mchina, uwe mu iran, uwe mrusi. Ni ndoto yao kubwa kuishi ulaya au marekani, na hapo zawadi kubwa ambayo kawapa ni hizo apartmen hapo london. Tukiacha unazi hakuna binadam ambaye hahusudu maisha ya kimagharibi. Over
Qatar kupiti Qatar investment authority wanamiliki 879 commercial and residential properties in London hapo downtown wamechafua wao. Kwahyo nyumba ya pili wa raia wa qatar ni UK
https://www.google.com/url?sa=t&sou...FjAKegQIAhAB&usg=AOvVaw3YrZbfZY2nphnwe3Ia7UUk
 
Qatar kupiti Qatar investment authority wanamiliki 879 commercial and residential properties in London hapo downtown wamechafua wao. Kwahyo nyumba ya pili wa raia wa qatar ni UK
https://www.google.com/url?sa=t&source=web&rct=j&url=https://www.bbc.co.uk/news/business-40192970&ved=2ahUKEwiq79b226XgAhUS5uAKHZVzDOIQFjAKegQIAB&usg=AOvVaw3YrZbfZY2nphnwe3Ia7UUk

Wakizingua tu utajiri wako wote na wa nchi unazuiliwa kuja kwako. Unazuiliwa kusafiri, kutumia hizo pesa. Pia unapigwa vikwazo.

Nchi zote za kiarabu ni makoloni ya USA,UK,France. Iran (Siyo waarabu) ndiyo nchi pekee huru sehemu hio, ndio maana wanapewa,wamepewa vikwazovvingi sana.
 
Ndg
Nyie mnanipa mtihani Wa kwenda kutembelea Oman !!


OMAN...
IMANI...
AMANI...

hiyo nchi imebarikiwa mkuu, nimetembelea huko dah unapenda wanavoishi sio kama Saudia na emirates, watu wake karimu sana, hakupiti bila salamu hata kama hakujui,na isitoshe atakuchukua kwake ukatembee, na kukukaribisha.

Na katika kusalisha nimejionea mengi hawaangalii huyu eti dhehebu gani, nimeenda kusali misikiti yao ni full raha, yani Ibaadh atasalisha, au sunni ataachiwa kusalisha adi raha. Sio kama wasaudia chuki na roho mbaya na kukashifu madhehebu ya wengine, wanajiona wao wako sahihi. na hata huku kwetu kuna dhehebu moja ivi sitopenda kulitaja, wataniijia na povu humu 😀😀.
 
Back
Top Bottom