Hii ndiyo CV ya Dk. Hadji Hussein Mponda

Hii ndiyo CV ya Dk. Hadji Hussein Mponda

Alikuwa anafanaya Social Marketing IHI sasa unategemea ataweza kusimima mambo makubwa ya afya kweli.Tena kitengo chenyewe cha social marketing kimekufa tayari pale IHI na ule mlori wao upo Bagamoyo unasomba kifusi cha kujenga ofisi za IHI Bagamoyo.
 
Dr Hadji Hussein Mponda profile.


First Name: Dr. Hadji
Middle Name: Hussein
... Last Name: Mponda
Member Type: Constituency Member
Constituent: Ulanga Magharibi
Political Party: CCM
Office Location: P.O. Box 9083, Dar Es Salaam
Office Phone: +255 783 003 635
Ext.:
Office Fax:
Office E-mail: hmponda@parliament.go.tz
Member Status: Current Member
Date of Birth 27 September 1958


EDUCATIONS
School Name/Location Course/Degree/Award Start Date End Date Level
Manda Chini Primary School Primary Education 1967 1970 PRIMARY
Nawenge Primary School Primary Education 1971 1973 PRIMARY
Minaki Secondary School O-Level Education 1974 1977 SECONDARY
Tosamaganga Secondary School A - Level Education 1978 1980 HIGH SCHOOL
Mzumbe University Business Management 1984 1987 ADV DIPLOMA
London Univeristy Public Health 2003 2004 MASTERS DEGREE
Mzumbe University Material Management - GRADUATE
London Univeristy Public Health 2007 2010 PHD


Nimekuwa najiuliza sana kuhusu huyu waziri wa afya na jinsi anavyohandle issues za wizara yake hasa mgomo wa madaktari nikaishia kupata CV yake hii.

Nadhani kuna haja wizara kuwa zinaongozwa na watu wenye taaluma husika pengine inaweza kusaidia kuondoa mitafaruku isiyo ya lazima na adha zinazowakumba wananchi......

Hapa pana tatizo. Haoni kuwa anaidhalilisha taaluma yake anapofikia kuacha watu wafe ndipo ajitokeze kwenye vyombo vya habari? Amekiuka kiapo chake na atajibu kwa Mungu.

Hata haiba ya uongozi hana kwani hana uzoefu wa kuongoza hata serikali ya kijiji kabla ya kuwa waziri. Angekuwa na uwezo wa kuzungumz mbele ya watu na kupanga hoja kama msomi kweli!!
 
Yani JK ni mtu wa ajabu sana kule wizara ya ng'ombe,mbuzi,kondoo na samaki aka vitoweo kawapa mtu wa fani ya udaktari wa mifugo...huku kwetu sisi wanyama aina ya binadamu katupa mtu wa business management mara sijui material management na public health. Inakera sana
Ha ha, sawa mtani.

Lakini nyie hapa bongo si mnahusika sanasana na kufunga vidonda na kupasua majipu?

Wizara yenu inahuweza hata kuongozwa na nesi, maana tukihitaji matibabu siriaz tunaenda zetu apollo...:biggrin:
 
Kha!! Jamaa kachanganya profession kichizi,ila huyu jamaa hata mie nimekuja kugundua kuwa si mzuri wa kupanga hoja na kutetea hoja...na hili nilianza kuliona wakati wa vikao vya bajeti,wakati wa bajeti ya wizara yake kama lingekuwa ni bunge makini bajeti yake haikupaswa kupita..na wengine ni hawa hapa
  1. Prof Anna Tibaijuka
  2. Philipo mlugo
  3. Dr Kawambwa
  4. Ngeleja
  5. ...nk
 
Dr Hadji Hussein Mponda profile.


First Name: Dr. Hadji
Middle Name: Hussein
... Last Name: Mponda
Member Type: Constituency Member
Constituent: Ulanga Magharibi
Political Party: CCM
Office Location: P.O. Box 9083, Dar Es Salaam
Office Phone: +255 783 003 635
Ext.:
Office Fax:
Office E-mail: hmponda@parliament.go.tz
Member Status: Current Member
Date of Birth 27 September 1958


EDUCATIONS
School Name/Location Course/Degree/Award Start Date End Date Level
Manda Chini Primary School Primary Education 1967 1970 PRIMARY
Nawenge Primary School Primary Education 1971 1973 PRIMARY
Minaki Secondary School O-Level Education 1974 1977 SECONDARY
Tosamaganga Secondary School A - Level Education 1978 1980 HIGH SCHOOL
Mzumbe University Business Management 1984 1987 ADV DIPLOMA
London Univeristy Public Health 2003 2004 MASTERS DEGREE
Mzumbe University Material Management - GRADUATE
London Univeristy Public Health 2007 2010 PHD


Nimekuwa najiuliza sana kuhusu huyu waziri wa afya na jinsi anavyohandle issues za wizara yake hasa mgomo wa madaktari nikaishia kupata CV yake hii.

Nadhani kuna haja wizara kuwa zinaongozwa na watu wenye taaluma husika pengine inaweza kusaidia kuondoa mitafaruku isiyo ya lazima na adha zinazowakumba wananchi......

Ina maana huyu jamaa na Phd yake no Publication no research, it cant be lol!! Si bora mie na haka ka-certificate kangu lol!!
 
kwa JK marytina naweza kuwa waziri wa science na tekno
Weka CV yako hapa pamoja na picha yako kama unamvuto (mzuri) hiyo ndiyo qualification yako ya muhimu hizi zingine sisi hatunaga, utaingia kwenye cabinet!!
 
sasa mnashangaa hiyo naskia celina komban ajasoma sheria wanampa wizara ya sheria,ngeleja hivyo hivyo, sasa kwanini wasidanganywe na watendaji wao
 
Ministerial responsibilities hazihusiani na profession husika na kwa hiyo uwaziri wa afya sio lazima ushikwe na daktari wa binadamu ila cha muhimu ni upeo wa huyo waziri. Kwa mfano hivi mgomo wa madaktari ni kweli kuwa unaweza kutatuliwa na professional doctor pekee?Mbona wizara hiyo imewahi kuongozwa na mawaziri ambao sio madaktari na wakafanya vizuri.
 
Asante, siku zote najua ni dr wa binadamu, kumbe ni Phd ya kuunga namna hiiiiiiii

Dr Hadji Hussein Mponda profile.


First Name: Dr. Hadji
Middle Name: Hussein
... Last Name: Mponda
Member Type: Constituency Member
Constituent: Ulanga Magharibi
Political Party: CCM
Office Location: P.O. Box 9083, Dar Es Salaam
Office Phone: +255 783 003 635
Ext.:
Office Fax:
Office E-mail: hmponda@parliament.go.tz
Member Status: Current Member
Date of Birth 27 September 1958


EDUCATIONS
School Name/Location Course/Degree/Award Start Date End Date Level
Manda Chini Primary School Primary Education 1967 1970 PRIMARY
Nawenge Primary School Primary Education 1971 1973 PRIMARY
Minaki Secondary School O-Level Education 1974 1977 SECONDARY
Tosamaganga Secondary School A - Level Education 1978 1980 HIGH SCHOOL
Mzumbe University Business Management 1984 1987 ADV DIPLOMA
London Univeristy Public Health 2003 2004 MASTERS DEGREE
Mzumbe University Material Management - GRADUATE
London Univeristy Public Health 2007 2010 PHD


Nimekuwa najiuliza sana kuhusu huyu waziri wa afya na jinsi anavyohandle issues za wizara yake hasa mgomo wa madaktari nikaishia kupata CV yake hii.

Nadhani kuna haja wizara kuwa zinaongozwa na watu wenye taaluma husika pengine inaweza kusaidia kuondoa mitafaruku isiyo ya lazima na adha zinazowakumba wananchi......
 
tumevamiwa tena jamani, angalieni kaja lini hapa

Ministerial responsibilities hazihusiani na profession husika na kwa hiyo uwaziri wa afya sio lazima ushikwe na daktari wa binadamu ila cha muhimu ni upeo wa huyo waziri. Kwa mfano hivi mgomo wa madaktari ni kweli kuwa unaweza kutatuliwa na professional doctor pekee?Mbona wizara hiyo imewahi kuongozwa na mawaziri ambao sio madaktari na wakafanya vizuri.
 
wazee vipi wakati wa prof mwakyusa hali ilikuwa shwari wizarani/muhimbili?
 
Kumbukumbu: Kuna watu hapa wanasema professionalism haiitajiki katika kuongoza wizara, tujikumbushe waziri mzoefu kabisa Mh. Zakia Megji alipowewa Wizar ya Fedha..........
 
tatizo linakuja at an individual level na sio kwamba kasoma karibuni au yeye ni dr au sio dr, maana pia ikimweka dr kuna wengine ni senior kwake kitaaluma watasemaje? ukisha fika at a degree level ni kwamba umepewa nyenzo za kuweza kuchambua mambo , so ni wewe kutumia vipaji ulivyopewa kuweza kujua jema na baya na mwelekeo wa kwenda mbele. kuna vijana unaweza kukuta shule haikupanda lakini ana busara zake na anajua jema na baya na analisimamia, mwingine poor hair distribution (PHD) na bado anakosa msimamo na kuyumbishwa kama yoyo na mashakumpeta au mwanaume au mwana mke

Daah hiyo PHD mimi naifahamu kwa kirefu cha Parmanent Head Damage.
 
Dr Hadji Hussein Mponda profile.


First Name: Dr. Hadji
Middle Name: Hussein
... Last Name: Mponda
Member Type: Constituency Member
Constituent: Ulanga Magharibi
Political Party: CCM
Office Location: P.O. Box 9083, Dar Es Salaam
Office Phone: +255 783 003 635
Ext.:
Office Fax:
Office E-mail: hmponda@parliament.go.tz
Member Status: Current Member
Date of Birth 27 September 1958


EDUCATIONS
School Name/Location Course/Degree/Award Start Date End Date Level
Manda Chini Primary School Primary Education 1967 1970 PRIMARY
Nawenge Primary School Primary Education 1971 1973 PRIMARY
Minaki Secondary School O-Level Education 1974 1977 SECONDARY
Tosamaganga Secondary School A - Level Education 1978 1980 HIGH SCHOOL
Mzumbe University Business Management 1984 1987 ADV DIPLOMA
London Univeristy Public Health 2003 2004 MASTERS DEGREE
Mzumbe University Material Management - GRADUATE
London Univeristy Public Health 2007 2010 PHD


Nimekuwa najiuliza sana kuhusu huyu waziri wa afya na jinsi anavyohandle issues za wizara yake hasa mgomo wa madaktari nikaishia kupata CV yake hii.

Nadhani kuna haja wizara kuwa zinaongozwa na watu wenye taaluma husika pengine inaweza kusaidia kuondoa mitafaruku isiyo ya lazima na adha zinazowakumba wananchi......

Naona shida kidogo kwenye red.

Vipi sehemu alizofanyia kazi ni wapi na ilikuwaje huko?

Amechukulia Human Resourse for Health kama material?
 
Back
Top Bottom