Hii ndiyo dawa ya kiranja mnoko.

Nakumbuka sisi kiranja wetu wa msosi alikuwa anaficha uji kwenye trunk, siku moja na ubagidu wangu nililigeuza trunk juu chini. Halafu nikalirudisha lilivyokuwa.....
 
Nakumbuka sisi kiranja wetu wa msosi alikuwa anaficha uji kwenye trunk, siku moja na ubagidu wangu nililigeuza trunk juu chini. Halafu nikalirudisha lilivyokuwa.....
Hahaha, mlimfanyia umafia aisee. Ila viranja wa msosi wanakuaga mafisadi kweli yani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…