Hii ndiyo dawa ya mapenzi!

Hii ndiyo dawa ya mapenzi!

kwisha

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2021
Posts
1,779
Reaction score
4,982
Dawa ya mapenzi ndo hii usiteseke tena wewe tafuta majani haya tu utanishukuru

received_188011928432677.jpg
 
Labda Lakini Kuna watu wanayo hayo majani Lakini wapi.😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁
 
Dawa pia ya upungufu wa nguvu za kiume. Sisi wakongwe tuna msemo 'kiume pesa'.
 
Japo ni nje ya mada, ila wakuu hao watu wanao design pesa zetu za Tanzania huwa wanazitendea haki sana. Pesa za nchi nyingi zina muonekano mbaya mpaka inashangaza, ila ndio hivyo pesa ni pesa na haihukumiwi kwa muonekano.

NB: Ukitaka kusema pesa sio kila kitu, hakikisha kwanza unazo, tofauti na hapo huna mamlaka ya kuzizungumzia.
 
NB: Ukitaka kusema pesa sio kila kitu, hakikisha kwanza unazo, tofauti na hapo huna mamlaka ya kuzizungumzia.😁😁😁😁😁😁😁😁
 
Back
Top Bottom