Prof Koboko
JF-Expert Member
- Aug 15, 2020
- 350
- 2,550
Iko hivii: kuna tetesi kuwa Bosi hataki matumizi makubwa kwenye Uchaguzi huu, hataki chama kitumie pesa nyingi kuwanadi wagombea wake wa ubunge na badala yake nguvu unaelekezwa zaidi kwe Urais ambapo kunaonekana changamoto ni kubwa kuikabili nguvu ya Tundu Lissu ambaye si kwamba ataungwa mkono na chama chake tu bali na makundi mbalimbali ya asasi za kiraia.
Kwahiyo, inasemekana kuwa Bosi anadai kwamba ikiwa katika kila jimbo Chama hakitakua na gharama za kuchangia isipokuwa Wagombea wajibebe wao wenyewe. Kama mgombea ana ukwasi wa kutosha na alishinda kura za maoni,anayo nafasi kubwa ya kupenya hata kama ana makandokando yenye ushahidi usiojitosheleza.
Kama una ushawishi halafu umepenya kura za maoni ila huwezi kumudu gharama za Uchaguzi basi tambua unaweza kuzidiwa na wapinzani wako urahisi, kwahiyo utajua uchore mchoro gani ushinde hata kama ni kwa kupita bila kupingwa.
Upinzani tegemeeni mapingamizi kibao na rafu za kila aina ilimradi tu mtu apenye Pila kupingwa. Kaeni kisaikolojia, Yaliyowapata uchaguzi wa serikali za mitaa is what is going to happen.
Alfajiri iwe njema kwenu.
Kwahiyo, inasemekana kuwa Bosi anadai kwamba ikiwa katika kila jimbo Chama hakitakua na gharama za kuchangia isipokuwa Wagombea wajibebe wao wenyewe. Kama mgombea ana ukwasi wa kutosha na alishinda kura za maoni,anayo nafasi kubwa ya kupenya hata kama ana makandokando yenye ushahidi usiojitosheleza.
Kama una ushawishi halafu umepenya kura za maoni ila huwezi kumudu gharama za Uchaguzi basi tambua unaweza kuzidiwa na wapinzani wako urahisi, kwahiyo utajua uchore mchoro gani ushinde hata kama ni kwa kupita bila kupingwa.
Upinzani tegemeeni mapingamizi kibao na rafu za kila aina ilimradi tu mtu apenye Pila kupingwa. Kaeni kisaikolojia, Yaliyowapata uchaguzi wa serikali za mitaa is what is going to happen.
Alfajiri iwe njema kwenu.