Ndiyo, hata mimi ninalo🤓Hivi dubai watu wote wana magari???
Usiogope mawazo kinzani na fikra za sisi waafidhina sheikh usiwe kama Hizbu,,s!!!Ucjali kuhusu ibilisi ipo siku utakutana nae!!!Maneno huumbaKukutana na mtu kama wewe mwenye fikra na mawazo ya kukashifu imani zingine kwenye maisha nje ya jamiiforums, ni hasara kubwa sana,ni bora nikutane au nionane na Ibilisi.
Singapore 🙌🏿Yeah Riyadh kumejengeka sana na usisahau Singapore city kaka!!!
👏🏽👏🏽Singapore 🙌🏿
Unanunua TV 100" wakati huoni😎Sasa siwame jenga kwa ajili ya kujipatia kipato ?
Kwani mmiliki wa Serena hotel naye anaishi ndani ya hiyo hotel ili naye ainjoy?
Hakuna sehemu ambayo Mswahili anaishi na ina mafanikio.Mungu alimpunja akili mtu mweusi.
Anayebisha aje tubishane kwa hoja
Rubbish.Usiogope mawazo kinzani na fikra za sisi waafidhina sheikh usiwe kama Hizbu,,s!!!Ucjali kuhusu ibilisi ipo siku utakutana nae!!!Maneno huumba
Waafrica inatakiwa tutawaliwe tena tulifanya haraka sanaa kuwafukuza wakoloni Shobo za Nyerere na wenzake hatukutakiwa kuwafukuza wakoloni muda ulikua bado
Kaka umepitiwa......hutakiwi kuitikia salaam zao kwa uitikio aliotuamrisha sisi allah Subhanna kuitikianaHasira ziko wapi na matusi yapo wapi ?
Wa'aleykum.
Bila ccm ata mbeya ingekua nzur kuliko dubaiJamani eh tukubali tukatae watu waupe wametupiga gepu kubwa sana na tuna tuna safari ndefu kuwapata.
Ebu angalia Dubai alafu ujiulize Dar au Kampala zikija kufikia hatua hii itakuwa ni mwaka gani.
View attachment 2494991View attachment 2494992View attachment 2494993View attachment 2494994View attachment 2494995View attachment 2494997View attachment 2494998View attachment 2494999View attachment 2495000View attachment 2495001View attachment 2495002View attachment 2495004View attachment 2495005View attachment 2495006
Inawezekana! Hata pabaki plain au tubadilishe mandhari pawe kama porini yote yana wezekana, hata huko dubai tukitaka paonekane jangwa au kuna nyumba za udongo vyote vinawezekana si picha tu!Kama ni kompyuta itengeneze Dar iwe kama Dubai basi.
Kwa hiyo waarabu siku hizi wamekuwa weusi kama babu yako kijijini?Dubai watu weupe gani hao wavaa kobazi tu.
Hiyo miundombinu ni hela ya mafuta tu inafanya kazi.
Waliotunga michoro ,kujenga kusimamia ni wageni waajiriwa tu
Jamaa wako zao kwao wanacheza bao ,kula tende,biriyani ngamia na gahawa