Hii ndiyo Dubai bwana

Hii ndiyo Dubai bwana

Kukutana na mtu kama wewe mwenye fikra na mawazo ya kukashifu imani zingine kwenye maisha nje ya jamiiforums, ni hasara kubwa sana,ni bora nikutane au nionane na Ibilisi.
Usiogope mawazo kinzani na fikra za sisi waafidhina sheikh usiwe kama Hizbu,,s!!!Ucjali kuhusu ibilisi ipo siku utakutana nae!!!Maneno huumba
 
Wale wazee badala ya kushitakiwa sisi tunawafanyia sherehe za kuwapongeza
Waafrica inatakiwa tutawaliwe tena tulifanya haraka sanaa kuwafukuza wakoloni Shobo za Nyerere na wenzake hatukutakiwa kuwafukuza wakoloni muda ulikua bado
 
Kunamtu akomba picha za vijiji, kule lami hadi vijijini hakuna barabara ya vumbi, wkt narudi nliondoka pale asubuh saa 12 vijiji niliviona vizuri, mipango miji imeshawekwa hata kula hmna watu barabara zote lami
 
Bila ccm ata mbeya ingekua nzur kuliko dubai
 
Kama ni kompyuta itengeneze Dar iwe kama Dubai basi.
Inawezekana! Hata pabaki plain au tubadilishe mandhari pawe kama porini yote yana wezekana, hata huko dubai tukitaka paonekane jangwa au kuna nyumba za udongo vyote vinawezekana si picha tu!
 
Bwana bwana huo mji ni raha sana. Acha kwanza nisiongee sana nitakumbuka nilivyoteketeza milioni 8 kwa waarabu ndani ya siku 10. Dubai dubai dubai.
 
Dubai watu weupe gani hao wavaa kobazi tu.
Hiyo miundombinu ni hela ya mafuta tu inafanya kazi.
Waliotunga michoro ,kujenga kusimamia ni wageni waajiriwa tu
Jamaa wako zao kwao wanacheza bao ,kula tende,biriyani ngamia na gahawa
 
Dubai watu weupe gani hao wavaa kobazi tu.
Hiyo miundombinu ni hela ya mafuta tu inafanya kazi.
Waliotunga michoro ,kujenga kusimamia ni wageni waajiriwa tu
Jamaa wako zao kwao wanacheza bao ,kula tende,biriyani ngamia na gahawa
Kwa hiyo waarabu siku hizi wamekuwa weusi kama babu yako kijijini?

Alafu na ww utakuta eti una familia kweli wanawake wana huruma sana.
 
Back
Top Bottom