Njoka Ereguu
JF-Expert Member
- Apr 7, 2012
- 821
- 335
Mbona hatuwahusishi waliofanya mitihani? Yaani lawana kwa mtu ambae hajafanya mitihani ! Wanafunzi wanahusika kwa haya matokeo kwa asilimia kubwa ikifatiwa na wazazi mwisho kabisa ni serikali
Siku wakifaulu sana mtasema serikali imewapitisha wakifeli pia serikali imesababisha hebu tuweni binadamu
Akili iliyosababisha tatizo akili hiyo hiyo haiwezi kulitatua tatizo ililosababisha