Francis Mawere
JF-Expert Member
- Nov 17, 2015
- 958
- 831
Usifikirie tuu maana hili ni balaa ha ha haaaaaaaahahahaahahahahahhahaha ctaki kufikiria kinachofuata
Mkuu ulipata kusoma hadithi ya Pamela na Kipini?????Maskini Makonda...!
Ndio nilikisoma zamani kidogo mkuuMkuu ulipata kusoma hadithi ya Pamela na Kipini?????
Ni kipande gani kilikuvutia katika hadithi ile??Ndio nilikisoma zamani kidogo mkuu
Sikumbuki mkuu, nilikisoma muda mrefu nikiwa primary schoolNi kipande gani kilikuvutia katika hadithi ile??