Hii ndiyo maana ya matatizo

Francis Mawere

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2015
Posts
958
Reaction score
831
SWALI: Nini maana ya matatizo..?

JIBU: matatizo ni pale unapopewa adhabu na mwanajeshi then akakuruhusu uondoke, lakini ukarukia pikipiki yako halafu ukapayuka..!!!!! Mwanajeshi, wee boya Tu
Mara ghafla chombo kikagoma kuwaka.!
[HASHTAG]#mtokambali[/HASHTAG]
 
Hayo si matatizo bali ni majanga ya asili yasiyoepukika.Ikitokea hivyo bora uanze kumwamkia tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…