Hii ndiyo mechi mbovu kabisa kwa Yanga msimu huu

Hii ndiyo mechi mbovu kabisa kwa Yanga msimu huu

Nafikiri watu wanaibeba hii timu ili isifungwe msimu huu. Si mechi ya leo tu bali kuna mechi nyingi tu huko nyuma timu inacheza huku ikibebwa na marefa. Hii ni mbaya sana kwa nchi yetu kwani Yanga ikituwakilisha kwenye mashindano ya kimataifa hawatafika mbali kwa sababu hawawezi mashindano ya kimataifa hata kidogo.
Leo takwimu ni mechi ngapi yanga imebebwa? Halafu uweke na mechi ambazo simba imebebwa ili tuweke kwenye mizania. Siyo unaropoka tu
 
Nafikiri watu wanaibeba hii timu ili isifungwe msimu huu. Si mechi ya leo tu bali kuna mechi nyingi tu huko nyuma timu inacheza huku ikibebwa na marefa. Hii ni mbaya sana kwa nchi yetu kwani Yanga ikituwakilisha kwenye mashindano ya kimataifa hawatafika mbali kwa sababu hawawezi mashindano ya kimataifa hata kidogo.
Mtapigwa nje ndani mkifika makundi habari yenu kwisha
 
Nafikiri watu wanaibeba hii timu ili isifungwe msimu huu. Si mechi ya leo tu bali kuna mechi nyingi tu huko nyuma timu inacheza huku ikibebwa na marefa. Hii ni mbaya sana kwa nchi yetu kwani Yanga ikituwakilisha kwenye mashindano ya kimataifa hawatafika mbali kwa sababu hawawezi mashindano ya kimataifa hata kidogo.
Utaje na mechi tulizonyimwa ushindi pia mfano ile ya Mbeya city
 
Uchovu plus uwanja mmbovu. All in all that is footbal haiwezekani ushinde mechi zote
Hakika JKT Ruvu wao walikuwa wanacheza Lupaso kwa Mkapa wilayani Temeke jiji la Dar na Yanga mlikuwa Ziwa Tanganyika Kigoma😂☝️

Ikiwa uwanja ulikuwa mmoja na wote ni wageni kwa uwanja hakuna aliyeuzoea iweje ulalamikie uwanja? Kirumba na Geita Gold au Mkwakwani na Coastal haukulalamikia uwanja.

Mkienda kimataifa mtatafuta mchawi mwingine badala ya huyu wa uwanja mbovu
 
Hata kama ndio mcheze na Pamba? All the way from Orlando Pirates to wanakabakayeka?[emoji19][emoji19]
Mkuu umeanza lini kufuatilia mpira. Maana sio kwa utopolo huo unaojadili hapo.

Pamba amefuzu mpaka hatua hiyo ya Azam CC na lazima akutane na klabu iliyofikia hatua hiyo pia.

Mfano... kumbuka mechi ya jana kule Lake Tanganyika chura alipokoswakoswa kupapaswa na Ruvu. Ilitokea mwaka 2021 katika historia kuna timu ya mitetemo ya chura ilifikia hatua ya fainali kwa Azam CC ikakutana na Mnyama mkali, chura ikageuzwa na kuchomolewa mwiko na kisha kushindiliwa kimoja pale mganda alipoingiza kichwa pekee. Halafu unaleta masihara ya Pamba na Pirates hapa.
 
Mkuu umeanza lini kufuatilia mpira. Maana sio kwa utopolo huo unaojadili hapo.

Pamba amefuzu mpaka hatua hiyo ya Azam CC na lazima akutane na klabu iliyofikia hatua hiyo pia.

Mfano... kumbuka mechi ya jana kule Lake Tanganyika chura alipokoswakoswa kupapaswa na Ruvu. Ilitokea mwaka 2021 katika historia kuna timu ya mitetemo ya chura ilifikia hatua ya fainali kwa Azam CC ikakutana na Mnyama mkali, chura ikageuzwa na kuchomolewa mwiko na kisha kushindiliwa kimoja pale mganda alipoingiza kichwa pekee. Halafu unaleta masihara ya Pamba na Pirates hapa.
Kichwa tu , chaliiiiii!!![emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Mambo ya kawaida kwenye ligi kama hii...
 
Uchovu plus uwanja mmbovu. All in all that is footbal haiwezekani ushinde mechi zote
Wa kwenu mzima uko wapi?hauna hata kiwanja cha kuchezea chengesha bwege unaita vya wenzio vibovu...

Uchovu?[emoji23]utopolo mjisikiage aibu,Ruvu wamesafiri na coaster ,nyie mmetumia ndege nani anapaswa kulalamika kuhusu uchovu?

Mshukuru takrima na milungula mnayotumia ila ilikuwa mufe nyie YEBOYEBO

Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom