Hii ndiyo pembetatu ya Bermuda (Bermuda triangle)

Hata mimi amefanya nizubae japo alishaanza kunipata.........

Maelezo yaliyokuwepo hapo ni kweli yanahusu Bermuda triangle hata uki Google maelezo hayo hayo ndio utakayopewa. Ila kitendo cha kuweka picha isiyohusiana na maelezo anaji disqualify himself na kuenekana ni mtu wa ku copy and paste.
Any way Wacha watu wamshukuru kwa kupost hapa maelezo ya Devil's triangle.
 
maelezo sawa ila haezi kuwa serious huyu kuweka hzo picha za kwenye series...Jf never bores for sure hahahah
 
It's also known as Devils Triangle kwa wenye ujuzi na mambo ya imani na wanajimu tujuzeni zaidi
 
Unapo danganywa brother ukagundua kwamba unadanganywa kuwa mpole udanganywe ila changanya na akili yako.. brother!
 
Inawezekana alikuwa anataka ajue kama na nyie ni wafuatiliaji au zoazoa:biggrin1:. Inaonekana mpo makini. Safi sana
 
Kikubwa kinachosumbua Bermuda triangle, ni Magnetism force ambayo inakuja kuharibu mawasiliano ya chombo kinachopita maeneo yale.
 
Yaani tuchezewe chezewe kwenye suala la katiba kisha na kwenye uzi nako tujaribiwe!! No, Mkuu. Hali ya hewa imechafuliwa na picha.Rekebisha hii kitu aisee.
 
Naomba kuifahamu Bermuda Triangle kwa yeyote anayeweza kunipa maelezo ya kutosheleza.....au yoyote ya kusaidia.

Asanteni.
 
Naomba kujuzwa kuhusu hii kitu na kwanini kuna case nyingi za disappearance za ndege na Meli?
 
Nimesoma machapisho mengi kuhusu hii dhana lakini nimetoka kapa, ingawa wikipedia inasema suala hilo limeongezwa chumvi sana. Je The Bermuda Triangle,ni kitu gani na kuna ushahidi gani kwamba ina exist? na Je ni kweli ni lango la kuzimu kama baadhi wanavyodai?
 
Kuna jamaa anaitwa Mshana jnr anaweza kukusaidia Sana yupo huku jamii forum
 
Malaysia Air
Ingawa Ni Kama Utata Hivi
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…