Hii ndiyo Ratiba ya Simba SC kwa ' Weekend ' hii na kila mwana Simba SC ahakikishe anakuwa nayo na anaizingatia kikamilifu kabisa

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Ni kwamba......

Kesho Wana Simba SC tunaenda Kuishangilia KMC, Jumamosi tutaishangilia Azam FC na kama kawaida Jumapili tunajishangilia wenyewe ( Simba Sports Club ) pale Taifa na wale wa Botswana Mwenyezi Mungu atawapigania na ikiwezekana wajishangilie wenyewe.

Isambaze taarifa kwa kila mwana Simba SC unayemjua.
 
Hakuna mwanachama wala shabiki wa Simba atakaye kwenda kupoteza fedha zake kwenda kuishangilia KMC wala Azam.
.
hisani tuliyompatia KMC ya kumfanya ashiriki confederation inatosha kabisa.
.
Azam wanajifanya wana jeuri kwa mkubwa wa kaya tulianza kwa kuwagonga 4G sasa wapambane kwa hali yao huko hatuna hela za kuchezea shubahamit.
.
kawaambie mbungira wenzio mwende
 
Kwann washabiki wa simba wamechangamka sana, afu wengine baridiiiiii??

Anaye faham tafadhari anijuze! Yan huu utofauti nauona kuanzia Kitaa, humu JF, hadi majumban!!
Mbaya zaidi hasdi vyakula wanavyokula, mavazi wanayi vaa na muonekano, ni tofauti,,

Nasikia Simba wanakuka vinono sana !!!

Wengine tumekwama wapi???
 
Njoo tukule Mkuu
 
.. RASMI TFF YAMTANGAZA MDHAMINI MKUU LIGI KUU TANZANIA BARA TPL MSIMU MPYA 2019/2020.

Kwanini usingeanzisha Uzi wako Maalum kwa hii taarifa yako ya Udhamini wa Ligi Kuu hadi uje uiweke ndani ya Uzi wa Mtu mwingine na ambao unaongelea Jambo lingine? Kwani huwezi Kusafiria Nyota yako hadi usafirie za wengine?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…