Hii ndiyo ratiba yangu baada ya kumfukuza mke wangu ili niishangilie Yanga SC

Hii ndiyo ratiba yangu baada ya kumfukuza mke wangu ili niishangilie Yanga SC

watu wanamishahara yao wanapokea kila mwezi ,endeleeni kupayuka bila malipo, biashara ambayo haina faida ni mashabiki wa mpira
Unajuaje haina faida? Wakati rais eng. Hersi anatunywesha supu ya bure hukuona?
 
Ni mke umemfukuza au kakumbia Mana ameona maskini kama.wewe masaa 24 unaitukana.simba yenye tajiri wa kutupwa kama.mo dewji na wachezaji wenye mishahara minono na marupurupu kibao na kuishanglia kutwa kuchwa yanga yenye tajir wa kutupwa gsm na wachezaji wanaolipwa mishahara minono na marupurupu kibao kila siku, Sasa mkeo ameona akibaki happo atakufa njaa.
 
Nisikilizwe Nina hoja!

Baada ya hivi karibuni kutangaza kufanya maamuzi magumu tena ya kishujaa ya kumkufukuza mke wangu hapa nyumbani na kumrudisha kwao, kutokana kuninyima uhuru wa kuishangilia Yanga sc na kuwatetea kina pacome na Guede mitandaoni, nimekuwa nikipokea jumbe za matusi na kejeli DM.

Ila niweke wazi kuwa msimamo wangu hautobadilika ni heri niishi kwa punyeto huku nikiishangilia Yanga sc kwa uhuru. Sitaki ushauri, tena mnikome, na mkichonga sana kumbukeni na hapa ipo!

Ratiba yangu ya sasa ya kila siku baada ya kumfukuza mke wangu ili niishangilie Yanga sc ni kama ifuatavyo.

Saa 1-4 asubuhi: naamka naingia mitandao yote ya kijamii kuisifia Yanga na kupambana na comment zote mbovu dhidi ya Yanga.

Saa 4-7 mchana: natuma meseji za kuomba msaada wa hela ya kula kwa wanayanga wenzangu, nikikosa natembea kwa mguu mpaka makao mkuu yetu pale jangwani kupata supu na chapati za bure.

Saa 7-10 jioni: natembelea vijiwe vyote vya kahawa maeneo ya kariakoo na katika kila kijiwe naanzisha mada ya Pacome vs chama kisha namtetea Pacome kwa nguvu zote mpaka nieleweke, na itakapolazimu makonde kurushwa niko tayari

Saa 10-2 usiku : naanza kumsifia eng. Hersi Said na Gsm, hii itamuhusu kila atakaye niongelesha ndani ya haya masaa, kila baada ya salamu ntahakikisha nachomekea mada ya Yanga sc na kuanza kumsifia engineer.

Saa 2-4 usiku : Natazama marudio ya mechi ya Yanga sc 5 vs 1 Mbumbumbu fc, nikimaliza nalala.
Una akili kinoma mwamba. Kula like.
 
watu wanamishahara yao wanapokea kila mwezi ,endeleeni kupayuka bila malipo, biashara ambayo haina faida ni mashabiki wa mpira
Namuunga mkono mleta mada.

Kama huelewi na makonde yatatumika, tena we mdada nitakupa kerubu moja na bonge la ngumi.
 
Kila siku ninasema hapa.

Ukishabikia sana Simba na Yanga akili zinaanza kupotea kichwani.

Nawasihi vijana utumieni muda vizuri.

Hizo timu zimebeba Umasikini wa Tanzania
Nakuunga mkono [emoji817]%
 
Nisikilizwe Nina hoja!

Baada ya hivi karibuni kutangaza kufanya maamuzi magumu tena ya kishujaa ya kumkufukuza mke wangu hapa nyumbani na kumrudisha kwao, kutokana kuninyima uhuru wa kuishangilia Yanga sc na kuwatetea kina pacome na Guede mitandaoni, nimekuwa nikipokea jumbe za matusi na kejeli DM.

Ila niweke wazi kuwa msimamo wangu hautobadilika ni heri niishi kwa punyeto huku nikiishangilia Yanga sc kwa uhuru. Sitaki ushauri, tena mnikome, na mkichonga sana kumbukeni na hapa ipo!

Ratiba yangu ya sasa ya kila siku baada ya kumfukuza mke wangu ili niishangilie Yanga sc ni kama ifuatavyo.

Saa 1-4 asubuhi: naamka naingia mitandao yote ya kijamii kuisifia Yanga na kupambana na comment zote mbovu dhidi ya Yanga.

Saa 4-7 mchana: natuma meseji za kuomba msaada wa hela ya kula kwa wanayanga wenzangu, nikikosa natembea kwa mguu mpaka makao mkuu yetu pale jangwani kupata supu na chapati za bure.

Saa 7-10 jioni: natembelea vijiwe vyote vya kahawa maeneo ya kariakoo na katika kila kijiwe naanzisha mada ya Pacome vs chama kisha namtetea Pacome kwa nguvu zote mpaka nieleweke, na itakapolazimu makonde kurushwa niko tayari

Saa 10-2 usiku : naanza kumsifia eng. Hersi Said na Gsm, hii itamuhusu kila atakaye niongelesha ndani ya haya masaa, kila baada ya salamu ntahakikisha nachomekea mada ya Yanga sc na kuanza kumsifia engineer.

Saa 2-4 usiku : Natazama marudio ya mechi ya Yanga sc 5 vs 1 Mbumbumbu fc, nikimaliza nalala.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]ccm itatawala mpaka Yesu arudi

Baada ya ccm janga linalofuata nchi hii ni Simba na Yanga

Sema nimecheka, najua mtoa mada hayupo serious
 
Back
Top Bottom