Unadhani huwa hatuli ?
Aisee upo???Wasabato walikuwa sahihi kabisa kudadavua Mambo ya Walawi 11 wakionekana wamepitwa na wakati, sasa mawatu yanavuna ulichokipanda sababu ya ulafi tu, kumbe Mungu hadhihakiwi kamwe na....[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Naskia hawa jamaa walkua wanachoma quraan moto eti ndo kama laana hyo mjngu kawashushia ya kweli hay??
yess BiShoo haswaaAaa
Daah basi wanazngua hawa kama ni hvoSio kweli hata kidogo,ni propaganda za wachache ili agenda yao ikubaliwe tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Utaliwa nini? Malizia basi!
Dogo inakuwaje?hawa wachina huwa wana dunia Yao kabisa..mfumo wao wa maisha ni tofauti ni binadamu wengine.
Mbna marekan kuna migahawa ya nyama za watu