Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Wanakula watu mbona!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanakula watu mbona!
Binadam ni chakula mkuu toka kitambo
Watakuwa wanakula kama wanakula na mafirifiri, washindwe vinyonga
AiseeWatakuwa wanakula kama wanakula na mafirifiri, washindwe vinyonga
Sent using Jamii Forums mobile app
Watakuwa wanakula kama wanakula na mafirifiri, washindwe vinyonga
Sent using Jamii Forums mobile app
Wasabato ndiyo watu wa kwanza kabisa kupinga kula nyama nyekundu, tokwa na pepo la upumbavu kwa jina la Yesu.Mbona kulizuka RVF (rift valley fever) kwa kula nyama ya ng'ombe?! Au wasabato wamekataza kwenye mambo ha wamalawi sijui kula ng'ombe??!! Toeni hicho kinyesi kichwani na rudisheni ubongo, mtakuwa huru..!
Mm nmeuliza tu mkuu hata sielewi nmeona tu mitandaon ikabd niulize sko hapa kpingana na dini yyte wala kuegemea upande wwte mkuuVipi kuhusu homa ya mafua ya ndege, mafua ya nguruwe, nayo walichoma nini? Ebola Afrika magharibi, walichoma nini?
Kondoo waliokuwa wanatolewa kafara toka enzi za yesu walikuwa na damu ya blue?Wasabato ndiyo watu wa kwanza kabisa kupinga kula nyama nyekundu, tokwa na pepo la upumbavu kwa jina la Yesu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakisema tu mambo ya nguvu zakiume popo wote wanaisha Tnzania kesho asubuhi hakuna hata popo mmoja
Nguvu za kiume na kikeFaida zake ni nini hiyo supu ya popo??