Hii ndiyo tofauti gari ya Mzungu na Mjapani

Hii ndiyo tofauti gari ya Mzungu na Mjapani

Ndio maana yake, Germans wana Over engineering na ndio inafanya gari iwe na matatizo lukuki. Nimeshangaa kuona hapo mguu mmoja una mikono 3 yenye bushing 3! Ikifa bush 1 unanunu zote,spear zitaacha kuwa aghali kweli.?
Nani alikwambia ikifa bush moja unanunua zote? Mbona hizi gari zinakuumiza kichwa kuliko wanaozitumia? Bakini na Toyota zenu hizi tuachieni Sisi. Halafu ujue wengi wenye hizi mnazoogopa wana Toyota au walikuwa wana Toyota wakishindwa si wanarudi Toyota tu...
 
Tatizo wengi mna comment kwa hisia. Kaangalie gx100 Cresta ina mikono mingapi halafu Mimi nitakwambia vw golf ina wishbone moja mbele ambayo shape inafanana na ya corolla.
Gx100 ni arms kadhaa chini plus juu ina wishbone kubwa.
Mifumo ya magari ni ile ile yanatofautiana vitu vidogo sana.
Mkuu mm nna altezza ina mikono balaa yan mbele na nyuma inafanana
 
Nani alikwambia ikifa bush moja unanunua zote? Mbona hizi gari zinakuumiza kichwa kuliko wanaozitumia? Bakini na Toyota zenu hizi tuachieni Sisi. Halafu ujue wengi wenye hizi mnazoogopa wana Toyota au walikuwa wana Toyota wakishindwa si wanarudi Toyota tu...
Hahahahah basi braza hii ligi ni kama Derby 😂
 
Tatizo wengi mna comment kwa hisia. Kaangalie gx100 Cresta ina mikono mingapi halafu Mimi nitakwambia vw golf ina wishbone moja mbele ambayo shape inafanana na ya corolla.
Gx100 ni arms kadhaa chini plus juu ina wishbone kubwa.
Mifumo ya magari ni ile ile yanatofautiana vitu vidogo sana.
Ngoja ntakupa mrejesho 😝
 
Tatizo wengi mna comment kwa hisia. Kaangalie gx100 Cresta ina mikono mingapi halafu Mimi nitakwambia vw golf ina wishbone moja mbele ambayo shape inafanana na ya corolla.
Gx100 ni arms kadhaa chini plus juu ina wishbone kubwa.
Mifumo ya magari ni ile ile yanatofautiana vitu vidogo sana.
Bora mwenye magari yako umekuja, mana humu unaweza ukapigwa za uso ukatoka umechanganyikiwa kabisa.
 
Japan= Simplicity
German= Complicated
Complication lakini sometimes it worth.

Juzikati tulikuwa tunabadili water pump ile ya Chini kwenye Volkswagen Amarok [Volkswagen hizi za kisasa zina water pump mbili].

Sasa coolant ilimwagika. Gari kuja kuiweka Switch ON inapiga alarm na taa ya Temperature inawaka. Hiyo taa ilikuwja kupotea baada ya coolant kuwa kwenye level inayotakiwa.

Siyo unaendesha gari inamwaga coolant yote hata hushtukia. Ukija kushtuka inabidi ukanunue engine nyingine. Hayo mambo kwa mzungu hayapo.
 
Complication lakini sometimes it worth.

Juzikati tulikuwa tunabadili water pump ile ya Chini kwenye Volkswagen Amarok [Volkswagen hizi za kisasa zina water pump mbili].

Sasa coolant ilimwagika. Gari kuja kuiweka Switch ON inapiga alarm na taa ya Temperature inawaka. Hiyo taa ilikuwja kupotea baada ya coolant kuwa kwenye level inayotakiwa.

Siyo unaendesha gari inamwaga coolant yote hata hushtukia. Ukija kushtuka inabidi ukanunue engine nyingine. Hayo mambo kwa mzungu hayapo.
Nimeipenda hii
 
Back
Top Bottom