Hii ndiyo tofauti kati ya Mshabiki makini wa Yanga SC Mbunge Ridhiwani Kikwete na wale Mashabiki ' Maandazi ' na ' Oya Oya ' wengi waliopo Jangwani

Hii ndiyo tofauti kati ya Mshabiki makini wa Yanga SC Mbunge Ridhiwani Kikwete na wale Mashabiki ' Maandazi ' na ' Oya Oya ' wengi waliopo Jangwani

Nakuomba tu acha Kuulinganisha huo ' Upumbavu ' wako ukadhani na Mimi ni kama Wewe sawa? Mtafute Mheshimiwa Mbunge mwenyewe Ridhiwani Kikwete muulize kama leo hakuzungumza na Maulid Kitenge kupitia Efm Radio au uliza Member yoyote hapa ambaye alisikiliza leo Kipindi cha Sports Headquarters cha Efm kisha muulize kama nimeandika uwongo hapa kuhusu hayo aliyoyaongea huyo Mwana Yanga SC na Mheshimiwa Mbunge.
Hata hivyo umemtolea ushahidi mkubwa sana ungemuacha tu..mbona mimi sijasikiliza EFM lakini kwa umakini wangu wa kufuatia Sports nimeinyaka hiyo.

Au hata katika ukurasa wake Instagram ameandika hayo..watu wengine waache kama walivyo mkuu.
 
Back
Top Bottom