Hii ndiyo tofauti kubwa kati ya Ali Kiba na Diamond

Ok upo right mkuu sijakataa,yawezekana yupo hivyo kibiashara kutokana na soko alilonalo but atazame yeye ana familia now,hawa watoto zake wanakua,ataanzaje kuwafundisha maadili na desturi za jamii yake?

Sent from my TECNO-Y6 using JamiiForums mobile app
 
Hahaa,whatever mkuu ila tunachofahamu anawakilisha taifa kama mwanamuziki wa tanzania.

OVA!!

Sent from my TECNO-Y6 using JamiiForums mobile app
 
Okay but mkuu umeniacha,sijajua umekubaliana na kamanda Bujibuji ama unaenda opp naye

Sent from my TECNO-Y6 using JamiiForums mobile app
 
Maneno ya mkosaji tuu hayo ndugu,sijamkazia popote diamond zaid ya kusema ukweli,lakini pia suala la kuzaa hovyo nalo ni kosa ko siwezi kuyasema yote but nimesema kuna mtu kimaadili anajitahid tofaut na mwingine.

OVA!!

Sent from my TECNO-Y6 using JamiiForums mobile app
 
Hahaa you are a funny guy mkuu,hivi kwa alikiba umeona ni hereni tyuu.ehee kingine?

Sent from my TECNO-Y6 using JamiiForums mobile app
 
Hahaa you are a funny guy mkuu,hivi kwa alikiba umeona ni hereni tyuu.ehee kingine?

Sent from my TECNO-Y6 using JamiiForums mobile app
Kwa kiba akivaa hereni sawa ila diamond hajitambui si unavyomaanisha, unajifanya mchambuzi alafu hata unavyovichambua huvijui, huna hata reference za kutosha kwa kuongeza katafute ile sketi aliyoivaa mwaka Jana ktk kipindi cha MTV sync na ile nguo yake aliyoivaa ktk show ya one London au labda unachomaanisha diamond ajiheshim, ila kiba ajiachie.Sio unachagua picha ungeposti na hizi zote ni za mwaka Jana.
 
Kumbe somo kwako halijaeleweka kijana
 
Tatizo hujui ulichokiandika, alafu unajifanya unajua kumbe bonge la kilazer. Najua ww mgeni jf, ila siku ukijaribu kuleta mada jaribu kuwa kama msomi uwe na reference za kutosha na si kuelemea upande mmoja, humu watu wanajua zaidi ujuavyo ww.
Duh,team mondi kazini[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Dogo G hivi hao uliowataja wanapiga muziki wa Tanzania ama wanawakilisha Tanzania nje kwa kupiga Afro Beat? Kumbuka Afro Beat ni muziki wa Nigeria muasisi wake akiwa Fela Anikulapo Kuti, ni ujinga kujisifia kupiga muziki usio wako, hawa wote uliowataja ni wasanii tu tena waigizaji wakubwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…