Hii ndiyo tofauti kubwa kati ya Ali Kiba na Diamond

Hii ndiyo tofauti kubwa kati ya Ali Kiba na Diamond

Ha ha....ni mtazamo wako ila sidhani kama ni jambo rahisi kwa kizazi hiki cha wasanii kwa dunia nzima kuweka mipaka kwenye personal life style... vipi umewahi kufikiria juu ya branding na kujua diamond ameamua kui present brand yake kwa style ipi? ...... ukielewa hilo hutashangaa visanga na mambo yake!
Ok upo right mkuu sijakataa,yawezekana yupo hivyo kibiashara kutokana na soko alilonalo but atazame yeye ana familia now,hawa watoto zake wanakua,ataanzaje kuwafundisha maadili na desturi za jamii yake?

Sent from my TECNO-Y6 using JamiiForums mobile app
 
Diamond hajaufikisha muziki wa Tanzania mbali, yeye anapiga Afro Beat ambao ni muziki wa Nigeria, hivyo anaendeleza pale walipofika Nigerians. He doesn't have a brand, yeye ni msanii muigizaji tu hata Kiba naye ni hivyo hivyo. Bongo fleva si muziki wetu hata siku moja, tuache kujidanganya.
Hahaa,whatever mkuu ila tunachofahamu anawakilisha taifa kama mwanamuziki wa tanzania.

OVA!!

Sent from my TECNO-Y6 using JamiiForums mobile app
 
Na mie nikikwambia maisha bila ya Krishna ni bure kabisa utasemaje..?! Waislamu je? Na watu wa dini nyengine je?! Hizi ni story tu just live your life in a humanistic way to make a better world instead of kupeana story za kutenga humanity. On the other hand Olufela Olusegun Oludotun Ransome Kuti bado anaishi mioyoni mwa millions of his funs including me..! Every year kuna concerts kwenye majiji makubwa karibu yote duniani. Concerts hizo zinaitwa Felabration kumkumbuka gwiji, genius na baba wa music wa afrobeat..! Peace

Ubavu.
Okay but mkuu umeniacha,sijajua umekubaliana na kamanda Bujibuji ama unaenda opp naye

Sent from my TECNO-Y6 using JamiiForums mobile app
 
Tatizo mtoa mada umeonesha upande, wala hujatoa uchambuzi umejitahidi kumpamba mmoja na kumchafua mwingine. Unataka kunambia hofu ya Mungu ipo kwa kutovaa hereni na mikufu pekee lakini hofu hiyo isiwe ya kuwa na mahusiano holela na kuwa na watoto lukuki mana kwa dini ya kiislam hao watoto tayari kuna haki ambazo watazikosa kutoka Kwa Baba yao kwa mujibu wa dini.
Maneno ya mkosaji tuu hayo ndugu,sijamkazia popote diamond zaid ya kusema ukweli,lakini pia suala la kuzaa hovyo nalo ni kosa ko siwezi kuyasema yote but nimesema kuna mtu kimaadili anajitahid tofaut na mwingine.

OVA!!

Sent from my TECNO-Y6 using JamiiForums mobile app
 
We Jay Z humjui Jay Z anavaa mlegezo sana (angalia show zake) na ana mikufu na micheni kama mia na kama hujui USA hamna labda rapper asiyevaa Micheni hayupo. Hao akina Rakhim, uncle Luc wasanii wa long wanapiga milegezo na micheni kama kawa (wanamiaka zaidi ya 55+). Huyo Prof Jay sababu ya ubunge lakini naye milegezo na micheni kaipiga sana, labda kama umezaliwa juzi (Hebu itafute nyimbo aliyoiimba juzi chafu tatu). Ila ni ujana tu akikua ataacha, hata huyo kiba Kuna picha moja kapiga na Bob junior kavaa hereni enzi hizo.
Hahaa you are a funny guy mkuu,hivi kwa alikiba umeona ni hereni tyuu.ehee kingine?

Sent from my TECNO-Y6 using JamiiForums mobile app
 
images-2.jpeg
images-1.jpeg
Hahaa you are a funny guy mkuu,hivi kwa alikiba umeona ni hereni tyuu.ehee kingine?

Sent from my TECNO-Y6 using JamiiForums mobile app
Kwa kiba akivaa hereni sawa ila diamond hajitambui si unavyomaanisha, unajifanya mchambuzi alafu hata unavyovichambua huvijui, huna hata reference za kutosha kwa kuongeza katafute ile sketi aliyoivaa mwaka Jana ktk kipindi cha MTV sync na ile nguo yake aliyoivaa ktk show ya one London au labda unachomaanisha diamond ajiheshim, ila kiba ajiachie.Sio unachagua picha ungeposti na hizi zote ni za mwaka Jana.
images-1.jpeg
images-2.jpeg
 
View attachment 805206 View attachment 805209
Kwa kiba akivaa hereni sawa ila diamond hajitambui si unavyomaanisha, unajifanya mchambuzi alafu hata unavyovichambua huvijui, huna hata reference za kutosha kwa kuongeza katafute ile sketi aliyoivaa mwaka Jana ktk kipindi cha MTV sync na ile nguo yake aliyoivaa ktk show ya one London au labda unachomaanisha diamond ajiheshim, ila kiba ajiachie.Sio unachagua picha ungeposti na hizi zote ni za mwaka Jana.View attachment 805209 View attachment 805206
Kumbe somo kwako halijaeleweka kijana
 
Tatizo hujui ulichokiandika, alafu unajifanya unajua kumbe bonge la kilazer. Najua ww mgeni jf, ila siku ukijaribu kuleta mada jaribu kuwa kama msomi uwe na reference za kutosha na si kuelemea upande mmoja, humu watu wanajua zaidi ujuavyo ww.
Duh,team mondi kazini[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Dogo G hivi hao uliowataja wanapiga muziki wa Tanzania ama wanawakilisha Tanzania nje kwa kupiga Afro Beat? Kumbuka Afro Beat ni muziki wa Nigeria muasisi wake akiwa Fela Anikulapo Kuti, ni ujinga kujisifia kupiga muziki usio wako, hawa wote uliowataja ni wasanii tu tena waigizaji wakubwa.
 
Back
Top Bottom