Hii ndiyo yanga halisi. Hawajacheza nje ya uwanja

Yanga inawatesa sana msimu huu. Hamieni c.union
 
Mkiiangalia timu inayokwenda kucheza kimataifa mzungumzie yanga hii ya leo.

Hakuna ushindi bila kuhonga.
Nawaza hivi mtibwa alimhonga nani hadi mtani akapigwa, mbeya city nayo sijui ilihonga nini kwa tajiri hadi mikia ikafungwa, Kombe la Azam pale mwanza mlihongwa sh ngapi na yanga, pale kaitaba napo sijui mlihongwa sh ngapi hadi mkafungwa?? Ukiwa maskini wa mawazo hata ndege wanakunyea
 
Michezo ya hujuma nje ya uwanja tu
Ngao ya jamii inakuja mhamishe wachezaji wenu kina Sakho kabisa ili msihujumiwe!
napo mtapigwa tu maana hakuna namna!! Mayele aliwapiga, Morrison aliwapiga, Zawadi Mauya aliwapiga, Feisal aliwapiga, Saidoo aliwapiga, zote hizo ni hujuma? na Nkane asingekuwa mchoyo ile dakika ya mwisho ile mechi ya ligi pia tungewapiga!
Huwezi kuinuka kama hukubali kuwa umeanguka!
 
Bila Shaka na ww ulikuwa ni mwanazuoni uliyeingizwa kwenye vyumba vya Wana yanga huko mbeya.
 
Hahahaha,nasoma michango ya wanamichezo watanzania,inavutia sana
 
Wazee wakuloga hadharani hamna chenu mwaka huu[emoji23][emoji23]
Endeleeni kujifariji wachawi wakubwa nyie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…