Hii ndo Raha ya Kuwa na Mahusiano na Mwanamke mwenye Pesa

Life without money is life that hasn't lived.

Watu ambao hawaoni tatizo kuandika kwa kukosea hufanikiwa kimaisha haraka sana. Hongera bro
 
Life without money is life that hasn't lived.

Watu ambao hawaoni tatizo kuandika kwa kukosea hufanikiwa kimaisha haraka sana. Hongera bro
Fanya kucorrect tuone mzee wa Arsenane
 
Maisha na mafanikio kwa ujumla wake yana tafsir tofauti ksbisa na vile tunavypenda kuyatazama sisi
 
Haahhahahaa huyo mwanamke kazaliwa kwenye pesa au kazitafuta tuanze hapo[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…