Hii ndo Raha ya Kuwa na Mahusiano na Mwanamke mwenye Pesa

Hii ndo Raha ya Kuwa na Mahusiano na Mwanamke mwenye Pesa

Unakuta wewe una pesa nyingi...mke wako naye ana pesa nyingi unamnunulia zawadi ya million nne naye week ijayo anakusurprise na zawadi ya million tatu.It feels so good kwa upande wangu.

Kuwa na hela Raha Sana.Life without money is life that hasn't lived.Uzi tayari
Life without money is life that hasn't lived.

Watu ambao hawaoni tatizo kuandika kwa kukosea hufanikiwa kimaisha haraka sana. Hongera bro
 
Life without money is life that hasn't lived.

Watu ambao hawaoni tatizo kuandika kwa kukosea hufanikiwa kimaisha haraka sana. Hongera bro
Fanya kucorrect tuone mzee wa Arsenane
 
Maisha na mafanikio kwa ujumla wake yana tafsir tofauti ksbisa na vile tunavypenda kuyatazama sisi
 
Haahhahahaa huyo mwanamke kazaliwa kwenye pesa au kazitafuta tuanze hapo[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Back
Top Bottom