Hii ndo Raha ya Kuwa na Mahusiano na Mwanamke mwenye Pesa

Hii ndo Raha ya Kuwa na Mahusiano na Mwanamke mwenye Pesa

Tajiri wa Magomeni

JF-Expert Member
Joined
Aug 21, 2019
Posts
4,274
Reaction score
2,935
Unakuta wewe una pesa nyingi...mke wako naye ana pesa nyingi unamnunulia zawadi ya million nne naye week ijayo anakusurprise na zawadi ya million tatu.It feels so good kwa upande wangu.

Kuwa na hela Raha Sana.Life without money is life that hasn't lived.Uzi tayari
 
Hii comment yako tu inaonesha wewe ni choka mbaya mwenzetu

Tajiri hana muda wa kujibizana na masikini hata siku moja [emoji1787]
Hivi mkuu mtu mwenye hela zake za maana anaweza kupata muda wa kuja kuanzisha mada kama hii yakwako?
mzee mimi hata nikilala mwezi mzima hela inaingia tu kwenye akaunti yangu mimi kazi yangu ni kupiga simu tu
 
Hii comment yako tu inaonesha wewe ni choka mbaya mwenzetu

Tajiri hana muda wa kujibizana na masikini hata siku moja [emoji1787]
Hivi mkuu mtu mwenye hela zake za maana anaweza kupata muda wa kuja kuanzisha mada kama hii yakwako?
mimi sio choka mbaya aisee[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Back
Top Bottom