Uchaguzi 2020 Hii ndo sababu CCM wanakwepa kuzungumzia Dhahabu kwenye kampeni zao

Pole sana.
Unaamini polls zinazompa Msaliti Lissu ushindi na wala hata huhoji source lakini zinazoonyesha ameshindwa mapovu ya OMO yanakuwa mengi sana eti leta gazeti!! Tarehe 28/10/2020 mtakufa na stress mjiandae sawa sawa!!
 
Mwinyi miaka 10,mkapa miaka 10,JK miaka 10,JPM miaka 5 Jumla mia,ka 35,walifanya nini ainisha,au walisaidia ndugu zetu sadc? Rwanda walipigana Vita vya wenyewe kea wenyewe leo Rwanda inakimbilia kuwa Europe. CCM Hamna pa kujishika Ila jiteteeni tu,ikifika 2025 kuelekea 2030 mtakuwa KANU
 
Tanzania huwezi linganisha na Rwanda wewe!! Hili Taifa kubwa!! Labda nikuulize umezaliwa lini?? Ili nikueleze kulingana na umri wako nisije nikaeleza vitu vingine kumbe hata mimba yako ilikuwa haijatungwa!!
 
Tanzania huwezi linganisha na Rwanda wewe!! Hili Taifa kubwa!! Labda nikuulize umezaliwa lini?? Ili nikueleze kulingana na umri wako nisije nikaeleza vitu vingine kumbe hata mimba yako ilikuwa haijatungwa!!
Kama ulikula Ile unga wa yanga, utakuwa mdogo wangu tena kwa mbali Sana. Pia haijafika Rwanda. Tatizo ni uelewa wako unatokana na masomo uliyosomea.",Art"
 
Ni aibu hadharani ni mabeberu nyuma ya pazia ni mabwana mkubwa!
 
Tanzania huwezi linganisha na Rwanda wewe!! Hili Taifa kubwa!! Labda nikuulize umezaliwa lini?? Ili nikueleze kulingana na umri wako nisije nikaeleza vitu vingine kumbe hata mimba yako ilikuwa haijatungwa!!
Ingekuwaje kampeni za CCM bila kusomba watu na kupeleka wasanii?
 
Na kule Mwanga mtoto wa Msuya anagombea ubunge.
 
Unaamini polls zinazompa Msaliti Lissu ushindi na wala hata huhoji source lakini zinazoonyesha ameshindwa mapovu ya OMO yanakuwa mengi sana eti leta gazeti!! Tarehe 28/10/2020 mtakufa na stress mjiandae sawa sawa!!
Njozi njema kwenye mkeka wa kijiweni lumumba.
 
Maswala ya MIGA muulize Msaliti Lissu si uko naye hapo kwenye mitaa ya Ufipa?!!
Unaonaje ukitulia na kusoma kwa makini ili kuhakikisha umeelewa kilichoandikwa ndio ujibu.
Bk 7 utazikuta tu.
 
Daaah,Magufuli hakupaswa kuwa Rais nchi hii!

Hii inathibitisha vetting ya nchi ya kudanganyika ni mbovu mpaka basi

1. Jiwe ana historia mbaya ya kuoneaonea hadi familia yake
2. Jiwe ameuza nyumba za serikali ya nchi ya Wadanganyika hadi nyumba nyingine kugawa kwa michepuko
3. Jiwe amenunua kivuko magumashi
4. Kashfa zote za 10% kwenye ujenzi mabarabara
5. Jiwe kaleta hasara kwenye meli za samaki
6. Jiwe kasitisha kandarasi kibabe na hatimaye kusababisha wadanganyika walipe fidia ndefu kwa kushindwa kesi mahakamani.

Mii nashangaa Intelijensia ya nchi ya Kudanganyika yoote haya inayafahamu lakini ikampitisha mtu wa aina hii awe raisi wa nchi hiyo!

Ndiyo maana anawadanganya wadanganyika, na kwa kuwa kwenye nchi ya kudanganyika kudanganywa ndiyo sifa yao kuu basi Jiwe anajipatia wafuasi wa kutosha hasa wale waliosomea ujinga!
 
Naona dalili za kung'ang'ania madarakani ili afie hapo tusije tukajua mauchafu yake!
 
Dawa yenu ni tarehe 28/10/2020 watz wanawachinjia baharini na msaliti wenu. Ulipashwa pia kujiuliza kuwa Msaliti Lissu alisema tutashitakiwa Miga. Sasa tumeshitakiwa??!!

Ushitakiwe kwani ulichukua kipi cha mzungu? Maana mpaka sasa waowao ndio wanaochimba hayo madini.
 

Pitia ofisi zote za ccm na viwanja vya mpira ilivyorithi toka mfumo wa chama kimoja, kisha uje utoe mrejesho viko kwenye hali gani. Tena itapendeza sana ukianza na kiwanja cha Ally Hasan Mwinyi huko Tabora. Kisha ukimaliza huo mrejesho uje tujadili ofisi za cdm.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…